Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza. Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza. Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao maeneo ya Riverside.

Mpaka Leo bado haijajulikana nini sasa kilimsukuma Puza hadi kupelekea kujinyonga ingawa watu wengi wanasema alijinyonga kwa sababu alikuwa anakabiliwa na kesi nyingi nzito. Za mauaji tatu na kati ya hizo tatu tukio la mwisho inasemekana alimuua denti wa Zanaki kwa kipigo Kikali so akawa anatafutwa na polisi.

Mdau wewe unajua vipi kuhusu kujinyonga kwa huyu jamaa
 
1. Puza hakujinyonga but alikunywa dawa (sifahamu kama kunywa dawa nyingi ni kujinyonga).

2. Jamaa, hakuwa na murder case yoyote, he was mtukutu tu kama ilivyokuwa watukutu wengine pale shule.

3. Kama ulivyosema mwenyewe, hakuna anayefahamu hadi sasa ni sababu zipi zilizopelekea jamaa kujiua kwa kunywa na zile dawa (wengine walidai kuwa alipima akakuta ameathirika hivyo hakupenda kushuhudia yale mathila) - maana aliamka akafagia uwanja na kumwambia mother wake kuwa nasafisha/ fagia uwanja maana kesho rafiki zangu watafika hapa kupiga story and ndio akajiua.
 
Namkumbuka huyu jamaa wakat huo mi nilikua F4 Azania ila kilichomuua sikukijua lkn sijawah kusikia kama alikua na murder!....ngoja waje wada wa tambaza
Alijiua mwenyewe..ila sababu ndio haijulikani... jamaa alikuwa mtemi sana..kaanza kuonyesha utemi toka yuko form one anadindishiana na form four
 
1. Puza hakujinyonga but alikunywa dawa (sifahamu kama kunywa dawa nyingi ni kujinyonga).

2. Jamaa, hakuwa na murder case yoyote, he was mtukutu tu kama ilivyokuwa watukutu wengine pale shule.

3. Kama ulivyosema mwenyewe, hakuna anayefahamu hadi sasa ni sababu zipi zilizopelekea jamaa kujiua kwa kunywa na zile dawa (wengine walidai kuwa alipima akakuta ameathirika hivyo hakupenda kushuhudia yale mathila) - maana aliamka akafagia uwanja na kumwambia mother wake kuwa nasafisha/ fagia uwanja maana kesho rafiki zangu watafika hapa kupiga story and ndio akajiua.
Du jamaa kama ulikuwepo vile...he did exactly the same...alifagia kwanza uwanja na watu walishangaa siku hiyo jamaa kufagia uwanja...halafu unajua mdogo wake na yeye amefariki mwaka juzi?
 
Alijiua mwenyewe..ila sababu ndo haijulikani...jamaa alikuwa mtemi sana..kwanza kuonyesha utemi toka yuko form one anadindishiana na form four
....kwa mkwara tu nakumbuka siku moja alikua anampiga biti demu wa jangwani eti akajichanja na wembe halafu akailamba damu yake.... jamaa alikua nunda sana...sasa sijui hiyo roho ya uoga ya kujiua ilikujaje aisee
 
Du jamaa kama ulikuwepo vile...he did exactly the same...alifagia kwanza uwanja na watu walishangaa siku hiyo jamaa kufagia uwanja...halafu unajua mdogo wake na yeye amefariki mwaka juzi?
Duh very sorry kwa msiba wa mdogo wake. Jamaa alikuwa na utani mwingi sana - so wakati anafagia pale kwao Ubungo kibangu walimchukulia anafanya utani, ila kulipopambazuka ndio ikawa hivyo.
 
1. Puza hakujinyonga but alikunywa dawa (sifahamu kama kunywa dawa nyingi ni kujinyonga).

2. Jamaa, hakuwa na murder case yoyote, he was mtukutu tu kama ilivyokuwa watukutu wengine pale shule.

3. Kama ulivyosema mwenyewe, hakuna anayefahamu hadi sasa ni sababu zipi zilizopelekea jamaa kujiua kwa kunywa na zile dawa (wengine walidai kuwa alipima akakuta ameathirika hivyo hakupenda kushuhudia yale mathila) - maana aliamka akafagia uwanja na kumwambia mother wake kuwa nasafisha/ fagia uwanja maana kesho rafiki zangu watafika hapa kupiga story and ndio akajiua.
Du jamaa kama ulikuwepo vile...he did exactly the same...alifagia kwanza uwanja na watu walishangaa siku hiyo jamaa kufagia uwanja...halafu unajua mdogo wake na yeye amefariki mwaka j
Namkumbuka huyu jamaa wakat huo mi nilikua F4 Azania ila kilichomuua sikukijua lkn sijawah kusikia kama alikua na murder!....ngoja waje wada wa tambaza
Yeah. Ila ngumi alikuwa anaziweza sana
 
Kwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza.Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza..Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao maeneo ya Riverside...Mpaka Leo bado haijajulikana nini sasa kilimsukuma Puza hadi kupelekea kujinyonga ingawa watu wengi wanasema alijinyonga kwa sababu alikuwa anakabiliwa na kesi nyingi nzito . Za mauaji tatu na kati ya hizo tatu tukio la mwisho inasemekana alimuua denti wa Zanaki kwa kipigo Kikali so akawa anatafutwa na polisi.Mdau wewe unajua vipi kuhusu kujinyonga kwa huyu jamaa
Duh! Mkuu umenikumbusha huyu jamaa jinsi alivyokuwa anawadhibiti makondakta wa daladala waliokuwa wanatunyanyasa madent wa miaka ile, maanake jamaa alikuwa na mbavu na walikuwa wanamhanya hasa, niliwahi kushuhudia moja ya valangati zake pale Ubungo minazi ambapo ndipo palipokuja kuwa kituo cha Ubungo (wakati huo kituo cha Ubungo kiko pale Ubungo maji) jamaa aliwadhibiti kondakta na dereva wa daladala moja ikijulikana kwa jina la TORINO huku akitoa onyo kwa wanafunzi wasiingilie kwani atawamudu peke yake, na kweli aliwatuliza makonda wawili na dereva wao. Ila utakuwa umechanganya(?) sidhani kama kifo chake kilikuwa 1992, kama sio mwaka 1990 ilikuwa 1991 nadhani alikuwa kidato cha pili by then, pia umenikumbusha sonda boy bila kumsahau Okelo.
 
Duh Sonda boy, Okello, kitambo hio mkuu namba za enzi hizo ikiitwa Tambaza!
Mkuu unaikumbuka ile game ya UMISETA ilipigwa pale Azania sec. ground kati ya Azania na Tambaza mwaka 1988? Sikumbuki kama ule mchezo ulimalizika ila iliibuka fujo kubwa sana siku hiyo, Tambaza walikimbizwa pale Azania ila mtaani kukawa na msako mkali wa kuwasaka wanafunzi wenye kaptula za kaki (karibu wiki nzima), msako ukiendeshwa na wale wa kaptula za kijivu....nikiwa form one sijasahau kile kizaa zaa cha mabomu ya chupa zilizojazwa petrol na sukari na utambi....., vijana wa kijivu wakianza fujo walikuwa wanatoa mlio fulani wakiuita "mlio wa tembo"...., ila wakifika shule wanapiga kitabu na kufaulu vizuri tu.
 
Mkuu unaikumbuka ile game ya UMISETA ilipigwa pale Azania sec. ground kati ya Azania na Tambaza mwaka 1988? Sikumbuki kama ule mchezo ulimalizika ila iliibuka fujo kubwa sana siku hiyo,tambaza walikimbizwa pale Azania ila mtaani kukawa na msako mkali wa kuwasaka wanafunzi wenye kaptula za kaki (karibu wiki nzima),msako ukiendeshwa na wale wa kaptula za kijivu....nikiwa form one sijasahau kile kizaa zaa cha mabomu ya chupa zilizojazwa petrol na sukari na utambi.....,vijana wa kijivu wakianza fujo walikuwa wanatoa mlio fulani wakiuita "mlio wa tembo"....,ila wakifika shule wanapiga kitabu na kufaulu vizuri tu.
Haa nakumbuka sana siku hio kituo cha fanya kilifungwa pale... dah mimi mwaka huo nilikua Azania kidato cha pili...dah
 
Haa nakumbuka sana siku hio kituo cha fanya kilifungwa pale..dah mi mwaka huo nilikus azania fm2...dah
Sawa kabisa, nakumbuka Azania kulikuwa na mtu wanamwita DUDE ndio alikuwa anawaorganise wenzake kwenye zile fujo.
Mtoa post atanisamehe nimetoka nje ya mada, nimejikuta nimepanda mzuka kukumbukia matukio
 
Puza alikuwa mtemi sana,kipindi anaingia form one alipigana na jamaa wa form two,yule bwana wa form two alidundwa vibaya sana. Wapi Saga Power atueleze chanzo cha kifo cha Puza ila hakuwa na kesi ya mauaji
Alipigana na jamaa wa form three sio form one..aliepigwa alikuwa anaitwa Tafu. Baada ya hilo pambano Puza aapandishwa cheo hadi kuwa Captain
 
Back
Top Bottom