LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
- Thread starter
- #21
Duden
Dude namkumbuka sana Yule jamaa.Sawa kabisa,nakumbuka Azania kulikuwa na mtu wanamwita DUDE ndio alikuwa anawaorganise wenzake kwenye zile fujo.
Mtoa post atanisamehe nimetoka nje ya mada,nimejikuta nimepanda mzuka kukumbukia matukio.