Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Du jamaa kama ulikuwepo vile...he did exactly the same...alifagia kwanza uwanja na watu walishangaa siku hiyo jamaa kufagia uwanja...halafu unajua mdogo wake na yeye amefariki mwaka j

Yeah. Ila ngumi alikuwa anaziweza sana
Na alikuwa na mapenzi tambaza toka yuko primary Ubungo nakumbuka kulikuwa na tifu kati ta tambaza na wanafunzi wa shule moja ya sec jioni ubungo ambao walikuwa wana tumia majengo ya primary na sisi tulikuwa tuna jisomea jioni pale .
Wale wapuuzi wa za kuungaunga elimu wakawa wanasumbua dogo wa primary akiwemo puza ,wadau wa tambaza wakaingilia kati na kutia discipline kukawa hakuna masomo siku hiyo ,na puza akasema anaombea akifanya vyema awe tambaza na ikawa hivyo.
 
Kwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza.Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza..Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao maeneo ya Riverside...Mpaka Leo bado haijajulikana nini sasa kilimsukuma Puza hadi kupelekea kujinyonga ingawa watu wengi wanasema alijinyonga kwa sababu alikuwa anakabiliwa na kesi nyingi nzito . Za mauaji tatu na kati ya hizo tatu tukio la mwisho inasemekana alimuua denti wa Zanaki kwa kipigo Kikali so akawa anatafutwa na polisi.Mdau wewe unajua vipi kuhusu kujinyonga kwa huyu jamaa

Daah umenikumbusha Kitambo sana, Puza alikuwa Group one red lebel, na alijiua kwenye likizo ya Mwisho wa mwaka, yaani alikuwa ndio anatoka form one kwenda two

Akiwa form one, Tambaza Bullet Stars ilikuwa inacheza na Mgulani uwanja wa chuo cha Ualimu- Pale oposite na Taifa kukawekwa mkono wa nguvu pale kati ya Puza na Pompidou (mbabe wa Mgulani), Mechi iliisha baada ya JKT kuvamia uwanja na kuanza kuwapiga wanafunzi Tambaza

Daah mmenikumbusha wakina Meja jamaa alikuwa anakula balaa yeye kazi kushinda mesi na jikoni sahani yake ufuniko wa ndoo sijuhi yuko wapi maana alipataga Ziro, kulikuwa na akina Buchiza, Msovieti, Sonda, nk

Walimu wakina Kalumuna kisha Mushi na baadae Mtera, Nasu, Saidi, Mdeme nk kweli kitambo
 
Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
 
Puza alikuwa mtemi sana,kipindi anaingia form one alipigana na jamaa wa form two,yule bwana wa form two alidundwa vibaya sana. Wapi Saga Power atueleze chanzo cha kifo cha Puza ila hakuwa na kesi ya mauaji
Umenikumbusha mbali Saga Power!
 
Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
Mkuu umenikumbusha vimto, wakati wa michezo akivaa vazi lenye maandishi mengi ya VIMTO, kipindi hicho ile soda nyeusi ya vimto ndo iko sokoni na wale jamaa wenye soda wakawa wanamuadmire dogo anavyowapigia promo bila kujijua. Kitambo mkuu...
 
Kwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza.Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza..Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao maeneo ya Riverside...Mpaka Leo bado haijajulikana nini sasa kilimsukuma Puza hadi kupelekea kujinyonga ingawa watu wengi wanasema alijinyonga kwa sababu alikuwa anakabiliwa na kesi nyingi nzito . Za mauaji tatu na kati ya hizo tatu tukio la mwisho inasemekana alimuua denti wa Zanaki kwa kipigo Kikali so akawa anatafutwa na polisi.Mdau wewe unajua vipi kuhusu kujinyonga kwa huyu jamaa

vipi hakuwa akitumia kilevi chochote? bangi pamoja na sembe? RIP ila ilikuwa ni mob saikoloji.
 
Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
Daah umenikumbusha Kitambo sana, Puza alikuwa Group one red lebel, na alijiua kwenye likizo ya Mwisho wa mwaka, yaani alikuwa ndio anatoka form one kwenda two
Akiwa form one, Tambaza Bullet Stars ilikuwa inacheza na Mgulani uwanja wa chuo cha Ualimu- Pale oposite na Taifa kukawekwa mkono wa nguvu pale kati ya Puza na Pompidou (mbabe wa Mgulani), Mechi iliisha baada ya JKT kuvamia uwanja na kuanza kuwapiga wanafunzi Tambaza

Daah mmenikumbusha wakina Meja jamaa alikuwa anakula balaa yeye kazi kushinda mesi na jikoni sahani yake ufuniko wa ndoo sijuhi yuko wapi maana alipataga Ziro, kulikuwa na akina Buchiza, Msovieti, Sonda, nk

Walimu wakina Kalumuna kisha Mushi na baadae Mtera, Nasu, Saidi, Mdeme nk kweli kitambo
Pompidou alikuwa mtemi wa Jiteute...Nani alipigwa?? Hill ndo like tifu la mwaka 89? Wakati gemu linaanza watoto wa tambaza walitia madole sana mademu wa jiteute..washikaji wa jiteute akina Pompidou wakakusha kwa sababu kulikuwa na maticha wao maafande wanonko..gemu lilipoisha watoto wa jiteute wakiongozwa na kina Pompidou ndo wakaenda kuwazimngua watoto wa tambaza
 
Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
Daah umenikumbusha Kitambo sana, Puza alikuwa Group one red lebel, na alijiua kwenye likizo ya Mwisho wa mwaka, yaani alikuwa ndio anatoka form one kwenda two
Akiwa form one, Tambaza Bullet Stars ilikuwa inacheza na Mgulani uwanja wa chuo cha Ualimu- Pale oposite na Taifa kukawekwa mkono wa nguvu pale kati ya Puza na Pompidou (mbabe wa Mgulani), Mechi iliisha baada ya JKT kuvamia uwanja na kuanza kuwapiga wanafunzi Tambaza

Daah mmenikumbusha wakina Meja jamaa alikuwa anakula balaa yeye kazi kushinda mesi na jikoni sahani yake ufuniko wa ndoo sijuhi yuko wapi maana alipataga Ziro, kulikuwa na akina Buchiza, Msovieti, Sonda, nk

Walimu wakina Kalumuna kisha Mushi na baadae Mtera, Nasu, Saidi, Mdeme nk kweli kitambo
Pompidou alikuwa mtemi wa Jiteute...Nani alipigwa?? Hill ndo like tifu la mwaka 89? Wakati gemu linaanza watoto wa tambaza walitia madole sana mademu wa jiteute..washikaji wa jiteute akina Pompidou wakakusha kwa sababu kulikuwa na maticha wao maafande wanonko..gemu lilipoisha watoto wa jiteute wakiongozwa na kina Pompidou ndo wakaenda kuwazimngua watoto wa tambaza
 
Pompidou alikuwa mtemi wa Jiteute...Nani alipigwa?? Hill ndo like tifu la mwaka 89? Wakati gemu linaanza watoto wa tambaza walitia madole sana mademu wa jiteute..washikaji wa jiteute akina Pompidou wakakusha kwa sababu kulikuwa na maticha wao maafande wanonko..gemu lilipoisha watoto wa jiteute wakiongozwa na kina Pompidou ndo wakaenda kuwazimngua watoto wa tambaza
Hapana hiyo ilikuwa 1990, ilikuwa ngoma draw lakini Pompi alitema mchuzi
 
Mkuu unaikumbuka ile game ya UMISETA ilipigwa pale Azania sec. ground kati ya Azania na Tambaza mwaka 1988? Sikumbuki kama ule mchezo ulimalizika ila iliibuka fujo kubwa sana siku hiyo,tambaza walikimbizwa pale Azania ila mtaani kukawa na msako mkali wa kuwasaka wanafunzi wenye kaptula za kaki (karibu wiki nzima),msako ukiendeshwa na wale wa kaptula za kijivu....nikiwa form one sijasahau kile kizaa zaa cha mabomu ya chupa zilizojazwa petrol na sukari na utambi.....,vijana wa kijivu wakianza fujo walikuwa wanatoa mlio fulani wakiuita "mlio wa tembo"....,ila wakifika shule wanapiga kitabu na kufaulu vizuri tu.
Miaka ya sisi tunazaliwa nyie mko sekondary. Duh kweli life inaenda kasi. Nyie mlioko humu JF inaonyesha life imewapiga kikumbo na mko vibaya kimaisha. Poleni sana
 
Daah umenikumbusha Kitambo sana, Puza alikuwa Group one red lebel, na alijiua kwenye likizo ya Mwisho wa mwaka, yaani alikuwa ndio anatoka form one kwenda two
Akiwa form one, Tambaza Bullet Stars ilikuwa inacheza na Mgulani uwanja wa chuo cha Ualimu- Pale oposite na Taifa kukawekwa mkono wa nguvu pale kati ya Puza na Pompidou (mbabe wa Mgulani), Mechi iliisha baada ya JKT kuvamia uwanja na kuanza kuwapiga wanafunzi Tambaza

Daah mmenikumbusha wakina Meja jamaa alikuwa anakula balaa yeye kazi kushinda mesi na jikoni sahani yake ufuniko wa ndoo sijuhi yuko wapi maana alipataga Ziro, kulikuwa na akina Buchiza, Msovieti, Sonda, nk

Walimu wakina Kalumuna kisha Mushi na baadae Mtera, Nasu, Saidi, Mdeme nk kweli kitambo
Meja yuko Musoma yuko vizuri na ufugaji wake
 
miaka hiyo azania na tambaza vijana walikua machachari na akili zao zilikua machachari ila sasa azania na tambaza zimepoa na vijana akili zao zimekua baridiii, matokeo yao yanatuumiza sana tuliosona ktk shule hizi huko nyuma
Umeongea kwa masikitiko mno mpaka ikanisikitisha yaani hiki kizazi kina kazi ya kufanya ujinga wakati enzi zile kweli ajili zilikuwa zachemka .

Inasikitisha mno kuona hata kwenye top ten hazipo Shule zilizokua tishio.

Sijui ni hawa kuku wasioweza kukimbia na mayai yasio na jogoo yanabadilisha vizazi hivi yaani malengo hamna .
 
Kuna dogo mmoja alikuwa wa Mazense, nimemsahau jina, huyo alikiwa ni muhuni wa kwelikweli sio wale wa kupatia ujanja Tambaza, alikuwa amwembamba hivi na alikuwa kichwa sana, huyo jamaa alikuwa anatembea na Bisibisi au waya ule wa Mishikaki naukitoka haurudi bila damu
 
Back
Top Bottom