Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Old is gold, Puza ni jina kubwa sana miaka hiyo, kila kijana au mtoto wa miaka hiyo alitamani kuwa pengine asome Tambaza au Azania, tulitamani hivyo kwa kuwa mbali na undava pia walikua wana Akili nzuri darasani.

Habari mbaya kwa vifo vya watu hawa, akina Puza na baadhi wa wasemi wa miaka hiyo, ila Puza nadhani alikua na Nguvu za kuzaliwa, maana ukiangalia wadogo zake kama marehemu Uli na Aliko wate walikua ni Majibaba na chembe chembe za ubabe hazikuisha, wote wame isha kuwa na matukio kadhaa mtaani ila bahati mabaya maisha yao haya kua marefu , Mungu awa laze pema peponi.
 
1. Puza hakujinyonga but alikunywa dawa (sifahamu kama kunywa dawa nyingi ni kujinyonga).

2. Jamaa, hakuwa na murder case yoyote, he was mtukutu tu kama ilivyokuwa watukutu wengine pale shule.

3. Kama ulivyosema mwenyewe, hakuna anayefahamu hadi sasa ni sababu zipi zilizopelekea jamaa kujiua kwa kunywa na zile dawa (wengine walidai kuwa alipima akakuta ameathirika hivyo hakupenda kushuhudia yale mathila) - maana aliamka akafagia uwanja na kumwambia mother wake kuwa nasafisha/ fagia uwanja maana kesho rafiki zangu watafika hapa kupiga story and ndio akajiua.
Ha ha
 
Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 na watu wakorofi Sana...
Mkuu wa shule Mtera
 
Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
-Alexander Ndeki alikuwa Kamishna wa Elimu kipindi hiko.
-Mkuu wa shule alikuwa Mtera kama sijakosea jina.
 
Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
Mkuu nakumbuka mie nasoma Kigoma Secondary miaka hiyo,wakaletwa wanafunzi wa Tambaza,kuna jamaa mmoja anaitwa Zungu alikuwa white hivi,alikuwa bangi mtu lakini kwenye somo la hesabu alikuwa mkali sana.

Unajuatambaza ilikuwa na wakorofi ila walikuwa vichwa sana darasani.
 
Kwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza.Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza..Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao maeneo ya Riverside...Mpaka Leo bado haijajulikana nini sasa kilimsukuma Puza hadi kupelekea kujinyonga ingawa watu wengi wanasema alijinyonga kwa sababu alikuwa anakabiliwa na kesi nyingi nzito . Za mauaji tatu na kati ya hizo tatu tukio la mwisho inasemekana alimuua denti wa Zanaki kwa kipigo Kikali so akawa anatafutwa na polisi.Mdau wewe unajua vipi kuhusu kujinyonga kwa huyu jamaa
Aisee miaka hiyo tulikuwa tunawaogopa tambaza hasa wakati Wa mechi. Kila tunayemuona tuliamini anatumia sigara bwege. Huyo puza ndio balaa kipindi hicho nipo St antony
 
Mkuu nakumbuka mie nasoma Kigoma Secondary miaka hiyo,wakaletwa wanafunzi wa Tambaza,kuna jamaa mmoja anaitwa Zungu alikuwa white hivi,alikuwa bangi mtu lakini kwenye somo la hesabu alikuwa mkali sana.

Unajuatambaza ilikuwa na wakorofi ila walikuwa vichwa sana darasani.
Yeah mkuu,washikaji wengi waliperekwa shule za mbali mno,kwa kipato duni wengi walishindwa kwenda,pia tulikoenda huko duu walimu wengi walikuwa na visasi na sisi walituchukulia sisi viumbe wakorofi mno na hiyo wengi walifukuzwa shule kwa makosa madogo Sana,lakini shule nyingi tulikoperekwa vingi viliboreshwa hususani msos...daaah long time.
 
Yeah mkuu,washikaji wengi waliperekwa shule za mbali mno,kwa kipato duni wengi walishindwa kwenda,pia tulikoenda huko duu walimu wengi walikuwa na visasi na sisi walituchukulia sisi viumbe wakorofi mno na hiyo wengi walifukuzwa shule kwa makosa madogo Sana,lakini shule nyingi tulikoperekwa vingi viliboreshwa hususani msos...daaah long time.
Ya hata bro wangu alipohamia alipata shida kwa kumuona kama mtukutu Na akapiga 1 kali
 
Mimi nilikuwa mdogo mno ila kaka John Meja alikuwa anasoma huko azania 1999 hawezi kumjua huyo puza..hatinaye miaka ikaenda na mimi nikapangwa azania form 1 ,ila hii thread naifuatilia sana hapa.Nilichogundua mpka sasa ni kuwa azania yangu ilikuwa kibonde cha tambaza..
 
Lazima tulete nyodo. Watu hatujazaliwa nyie mko secondary leo tupo wote JF tunachati. Kuna sehemu mtakuwa mmekosea lazima naelewa nw kwanini wengi humu hamuipendi CCM.
Kwan kua jf ni kua ni kwamba mtu ume lost...kijana kijana nadhan umekosea njia saiz yako ni fb...kwa taarifa yako watu wote makin wapo humu jf..vikojoz kama ww mmekuja humu kwa bahat mbaya!
 
Kwan kua jf ni kua ni kwamba mtu ume lost...kijana kijana nadhan umekosea njia saiz yako ni fb...kwa taarifa yako watu wote makin wapo humu jf..vikojoz kama ww mmekuja humu kwa bahat mbaya!
Bado mtoto huyo social network inakutanisha matajiri,maskini,wehu Na wenye akili ndio sifa Kuu kubadilishana mawazo kutoa habari,kuelimisha,maoni Na pia manung'uniko.Ajue kuna majukwaa mengi tu kwenye jf.hapa hampatoshi.
 
Mimi nachokumbuka kuhusu Tambaza kipindi hicho tunasoma nursery aisee watu wakisema kaeni kimya leo tambaza wanakuja haongei mtu darasa zima ingawa tulikua watoto wadogo wa miaka 4 mpaka 5...
 
Back
Top Bottom