Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,508
Ni mchagga wa kibosho?Alijiua mwenyewe..ila sababu ndo haijulikani...jamaa alikuwa mtemi sana..kaanza kuonyesha utemi toka yuko form one anadindishiana na form four
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mchagga wa kibosho?Alijiua mwenyewe..ila sababu ndo haijulikani...jamaa alikuwa mtemi sana..kaanza kuonyesha utemi toka yuko form one anadindishiana na form four
Wa kituko usijidanganyeeMiaka ya sisi tunazaliwa nyie mko sekondary. Duh kweli life inaenda kasi. Nyie mlioko humu JF inaonyesha life imewapiga kikumbo na mko vibaya kimaisha. Poleni sana
Azania form six mwaka huu imekuwa ya mwisho kwa DsmUmeongea kwa masikitiko mno mpaka ikanisikitisha yaani hiki kizazi kina kazi ya kufanya ujinga wakati enzi zile kweli ajili zilikuwa zachemka .
Inasikitisha mno kuona hata kwenye top ten hazipo Shule zilizokua tishio.
Sijui ni hawa kuku wasioweza kukimbia na mayai yasio na jogoo yanabadilisha vizazi hivi yaani malengo hamna .
Kwani kuwa jf lazima uwe umefeli au? Dogo acha ujinga ,unajua ujinga umemfanya inzi asiweze kutengeneza asali hadi leo!Lazima tulete nyodo. Watu hatujazaliwa nyie mko secondary leo tupo wote JF tunachati. Kuna sehemu mtakuwa mmekosea lazima naelewa nw kwanini wengi humu hamuipendi CCM.
Mwambie wote tuliosoma Azania/Tambaza miaka hio ya 1990 tuliopo humu jf hakuna mwenye div 3......wote ni div 1 & 3.....sasa ajiulize ye ana div gan..Kwani kuwa jf lazima uwe umefeli au? Dogo acha ujinga ,unajua ujinga umemfanya inzi asiweze kutengeneza asali hadi leo!
Sorry div 1 & 2 not 3Mwambie wote tuliosoma Azania/Tambaza miaka hio ya 1990 tuliopo humu jf hakuna mwenye div 3......wote ni div 1 & 3.....sasa ajiulize ye ana div gan..
Wasichana kitambo ,ila high school nakumbuka Dada yangu alimaliza high school 1987 tambazaNadhani huo utukutu wa Tambaza ndo ulipelekea wasichana kuanza kusoma hapo.wakati huo sie tupo sec za mkoa,Tambaza ilikuwa inajulikana nchi nzima kwa utukutu.
Hapa wewe peke yako ndo mtoto,ulipaswa kutuamkia kwanza kabla hujauliza nani mnyama kati ya Scorpion na Puza...Hahhah,,, kwani wewe ulikuepo enzi za Puza?
Imekuchoma nini? Asilimia kubwa ya hao waliokuwa secondary miaka ya 80 wanapiga kelele kuwa maisha magumu serikali imewaletea umaskini. We jaribu kufuatilia comments zao uone.Kwani kuwa jf lazima uwe umefeli au? Dogo acha ujinga ,unajua ujinga umemfanya inzi asiweze kutengeneza asali hadi leo!
Dah umekumbusha mbali Sana mkuu kipindi ukiingia form one LAzima story kama hizi upigiwe wa wakongwe wa shule, watu watukutu waliopita, vichwa vilivyoweka historia kwa kupiga singe digit na mengineyo.. Hiyo ilikuwa Azania 2001Kwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza.Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza..Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao maeneo ya Riverside...Mpaka Leo bado haijajulikana nini sasa kilimsukuma Puza hadi kupelekea kujinyonga ingawa watu wengi wanasema alijinyonga kwa sababu alikuwa anakabiliwa na kesi nyingi nzito . Za mauaji tatu na kati ya hizo tatu tukio la mwisho inasemekana alimuua denti wa Zanaki kwa kipigo Kikali so akawa anatafutwa na polisi.Mdau wewe unajua vipi kuhusu kujinyonga kwa huyu jamaa
Nahisi wewe hujitambui na una ulimbukeni flani,Jf siyo sehemu ya kuchat,ukitaka kuchat bakia whatsApp au face book,halafu kuwa na mtu kwenye jukwaa flani haimaanishi sasa mnalingana na mtu huyo kwa kila kitu,mfano unaweza kukaa jukwaa moja pale uwanja wa Taifa na waziri mkuu mkiangalia mpira haimaanishi sasa wewe na waziri mkuu mnalingana,likewise humu JF kuna watu wa mbavu mbalimbali humu kama mawaziri,maprof nk usije ukajipa moyo mnalingana,ingawa hata sie wachimba chumvi pia tumo,uzuri wa JF status ya mtu sio issue,tunajali mawazo yako,na ndio mana slogan ni HOME OF GREAT THINKER......
Kwan kua jf ni kua ni kwamba mtu ume lost...kijana kijana nadhan umekosea njia saiz yako ni fb...kwa taarifa yako watu wote makin wapo humu jf..vikojoz kama ww mmekuja humu kwa bahat mbaya!
Dogo,kaa kimya kaka zako wanakumbukia.Au ndo kafufuka kwa jina la scorpion maana what goes around comes around
Du!Usijidanganye mkuu aliyetosheka na maisha aje JF kutafuta nini? Wote tuliomo humu tuna njaa tuu. Either tunaingia humu kwa kukosa kazi za kufanya, kujipoza na uchungu wa maisha au tumetumwa na vyama vya siasa kueneza propaganda.
Mtu makini na aliyetosheka na maisha saa hii katulia na familia yake Au anapanga mipango mingine. Wote humu njaa kali tuu
hata wewe kuna sehemu utakuwa umekosea ndio maana unashinda huku jf.....jf ni mtandao wa watu walioshamaliza starehe zote za ujanani wamestaafu wana chat kupoteza muda...sasa we kijana mdogo badala ya kutafuta ela unashinda huku we utakuwa na stress sana za maisha..!Lazima tulete nyodo. Watu hatujazaliwa nyie mko secondary leo tupo wote JF tunachati. Kuna sehemu mtakuwa mmekosea lazima naelewa nw kwanini wengi humu hamuipendi CCM.
Ndo nawasikilizia kimya kimya au umesikia keleleDogo,kaa kimya kaka zako wanakumbukia.