Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

mi nakumbuka bro wangu alikua anatoka tambaza half time anakuja kunicheki muhimbili primary kwenye ground, anakuja na dent Wa form one na anamwambia yule dent aninunulie vitu nitakavyoviiyaji,ila kuna kipindi walikamatwa wanafunzi wengi Wa tambaza na bro wangu alikuwepo na wakafunguliwa kesi ya mauaji nadhani aliyeuliwa alikua ni kati ya konda au dent mwenzao manake tukio lenyewe lilifanyika kwa mob,ila walokuja kuachiwa na ndio wakaanza kutawanywa
 
Usijidanganye mkuu matajiri wako sasahivi wamelalia sufi huku wanakunwa ndevu. Acha sisi i mean mimi wewe ma yule maskini wa jamii forums tuendelee kuganga njaa humu. Saa nne usiku mtu na familia yake uko JF halafu eti hujapigwa maisha na hela unazo za kutosha? Hizo ni ndoto za alinacha
Mkuu kwako wewe utajiri inaweza kuwa ni kuwa na pesa na kulalia sufi lakini kwangu mimi utajiri ikawa ni kuwa na afya njema na uhuru wa kujiamulia mambo yangu huko sote tukisubiri mambo makubwa mawili,KUFA na baadae KUHUKUMIWA KWA YALE TULIYOTENDA TUKIWA HAI.
 
Kuchangia nachangia huu mtandao ni wa bure hamna anayelipa kodi. Huna mamlaka ya kunizuia acha tuendelee kupiga miayo na kujaza server za JF. Wakati watu wazima na wanaojitambua mliokuwa nao enzi za Puza wakiwa wamelala. Na kufurahia matunda ya kazi zao.

Mi na wewe njaa tupu. Na nahisi hatuna kazi za kufanya kozi wanaojielewa wameshalala nw kesho kibaruani.

Dah ngoja nikalale nisije kukuiga kuendelea ku comment kumbe mwenzangu korokoroni.


me
Ok sasa nimekuelewa vyema...kumbe unamwaga pumba zako sbb kwa fikra zako finyu unajua huu mtandao ni wa bure!@@@!@!!....Aisee ndo tatizo la kukaa kwa shemeji hata hujui kama MB zinanunuliwa!...cku dadako akiachwa ukaanza kujitegemea ndo utajua jf sio mtandao wa bure!!.....utajua kama kuna kitu kinaitwa MB!
 
Kuchangia nachangia huu mtandao ni wa bure hamna anayelipa kodi. Huna mamlaka ya kunizuia acha tuendelee kupiga miayo na kujaza server za JF. Wakati watu wazima na wanaojitambua mliokuwa nao enzi za Puza wakiwa wamelala. Na kufurahia matunda ya kazi zao.

Mi na wewe njaa tupu. Na nahisi hatuna kazi za kufanya kozi wanaojielewa wameshalala nw kesho kibaruani.

Dah ngoja nikalale nisije kukuiga kuendelea ku comment kumbe mwenzangu korokoroni.


me
Endelea kulala hapo sebuleni kwa shemeji yako kwenye makochi...
 
Mkuu unaikumbuka ile game ya UMISETA ilipigwa pale Azania sec. ground kati ya Azania na Tambaza mwaka 1988? Sikumbuki kama ule mchezo ulimalizika ila iliibuka fujo kubwa sana siku hiyo,tambaza walikimbizwa pale Azania ila mtaani kukawa na msako mkali wa kuwasaka wanafunzi wenye kaptula za kaki (karibu wiki nzima),msako ukiendeshwa na wale wa kaptula za kijivu....nikiwa form one sijasahau kile kizaa zaa cha mabomu ya chupa zilizojazwa petrol na sukari na utambi.....,vijana wa kijivu wakianza fujo walikuwa wanatoa mlio fulani wakiuita "mlio wa tembo"....,ila wakifika shule wanapiga kitabu na kufaulu vizuri tu.

Azania Juzi Imeburuza Mkia Imebakia Stori tu
 
Sasa we uliosoma kijijin kwenu umefata nini kwenye huu mjadala??...anzisha na ww mjadala wa shulen kwako kama utapata wachangiaji ssb woote mliosoma nao hawajui hata jf ni nn...shukuru mungu ww upo mjin!
Mzee povu zinakutoka kwenye huu uziii kama umekunywa omoooo.. Vile ![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Enzi Hizo shule tano ndio zilikuwa zinatingisha nchi nne zilikuwa zinaanza na K na moja T yaani Tambaza. Hizo za K nakumbuka mbili tu Kibohehe na Kilimanjaro Boys. Enzi hizo stori za wanafunzi ilikuwa ni utundu shuleni na ufaulu
 
mkuu sishangai kuburuza mkia,madogo wenyewe ndo hawa wanaosoma huku wanachat kwenye whatsApp na face book huku wakitamani kuwa matajiri kama Bill Gates bila kufanya kazi bali kwa kucheza michezo ya kubahatisha


Yaap vijana wetu wamemalizwa. Enzi hizo kulikuwa na masomo ya sanaa Primary tunashindana kutengeneza mafagio miiiko na mabasi ya bati, heater za vijiko, redio za mbao nk. sasa hivi ni games to ndio basi tena hata kile kidogo cha uvumbuzi hamna
 
Yaap vijana wetu wamemalizwa. Enzi hizo kulikuwa na masomo ya sanaa Primary tunashindana kutengeneza mafagio miiiko na mabasi ya bati, heater za vijiko, redio za mbao nk. sasa hivi ni games to ndio basi tena hata kile kidogo cha uvumbuzi hamna
...wavumbuz wamebaki kina Danny Green ambao hawajui hata kama MB zinanunuliwa...et Jf ni mtandao wa Bure...shame on you Unaejiita Danny greeen!
 
Duh historia mzuri mno...hii thread watoto wa 90's wakae nayo mbali sana,Jf mna wakongwe hatari.
 
Back
Top Bottom