Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Mimi nilikuwa nasikia sifa zake tu nilipokuwa Azania. Alikuwa anawatembelea mabesti wake pale Azania wakijiita Barcelona lkn zaidi ya usela, hawakuwahi kufanya jambo lolote la ajabu shuleni kwetu Azania zaidi ya utoro wa kawaida wa watukutu kutoingia darasani kwa kujichinbia vichakani.
Kilichokuwa kibanisikitisha kwenye lile kundi kulikuwa na dada mmoja akisoma Zanaki akiitwa Herieth ambaye alikuwa akishinda pake Azania kwa boyfriend wake aitwaye Gift ambaye alikuwa member wa group la kina Puza liitwalo Barcelona. Sijui yule dada aliishia wapi na upuuzi wao maana mwaka aliojinyonga Puza mimi nilikuwa namaliza F 4.
Vv
Kilichokuwa kibanisikitisha kwenye lile kundi kulikuwa na dada mmoja akisoma Zanaki akiitwa Herieth ambaye alikuwa akishinda pake Azania kwa boyfriend wake aitwaye Gift ambaye alikuwa member wa group la kina Puza liitwalo Barcelona. Sijui yule dada aliishia wapi na upuuzi wao maana mwaka aliojinyonga Puza mimi nilikuwa namaliza F 4.
Vv