Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
John tafu kazeeka sana sasa hiviIs it kajamaa kalikuwa kanajiita John Tafu?naanza kukumbuka ila Mi nilikuwa Azasec
Sent using Jamii Forums mobile app
Shkamoo mwalimuMimi hapa umenikumbusha Mzee Alexander Ndeki alikuwa mkurugenzi wa elimu nilipoanza kazi ya ualimu baada ya kuhitimu UDSM 1994. Mzee alikuwa very principled. Nilipangiwa kazi kwenye shule ambayo nilifanyia BTP mwaka uliotangulia. Habari za Tambaza zilivuma sana kipindi hicho.
Marahaba, hujambo?Shkamoo mwalimu
Sijambo mwalimuMarahaba, hujambo?
Nilikufundisha wapi Bushmamy? Na somo gani, English au History?Sijambo mwalimu
Nawaheshimu tu walimu,Nilikufundisha wapi Bushmamy? Na somo gani, English au History?
Okay, asante sanaNawaheshimu tu walimu,
Hujawahi nifundisha mwalimu
HistoriaNilikufundisha wapi Bushmamy? Na somo gani, English au History?
Mzee wa uma mkate babake weka kituo..Lulindi alitufundisha civics Tambaza,nadhani ndio mwaka lilipobadilishwa jina kutoka siasa kwenda civics,baada ya zile fujo walimu wengi walihamishwa,Lulindi akaletwa Kibasila sec.
Asante kwa kunikumbuka, ubarikiweHistoria
Utakufa wewe, vyuma vitabaki vinadunda mpaka Mungu atakapoamuaMliochangia mada huu Uzi inabidi mfe sasa wengine wazaliwe
Alikuwa ni shujaa wa TambazaMtu ukifa ndo unakuwa maarufu
Wababe wa zamaniAlikuwa ni shujaa wa Tambaza