#COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?

Mkemia aliharibu kwa kuzuia takwimu kuchukuliwa akidai wote wamepona kabisa. Sasa Mama anatoaje maamuzi bila analysis na tafiti ya kitaaluma?

Mwanzoni tulianza vizuri ila walipoingiza siasa wakaharibu kila kitu....
 
Sema mpendwa wako na mama yako usitujumuishe sisi
 
Chanjo lazima Ili kutotengwa kimataifa, mbona mataifa mengine wametumia wewe ulitakaje
 
Wasukuma mnamuandama mama, Samia ni Rais hadi 2045, amtaki ameni nchi
 
Kwa hali wanayopitia Kenya kwa sasa kwa sababu ya Corona, JPM ni shujaa wa Africa.
Huyo unayemsifia corona ndio ilimchukua then unampa sifa za bure tu. Jan na feb medical dept ya TZ ilifika breaking point ssa tulikua na tofauti gani na Kenya.

Shukuruni tu ile wave kwa TZ ilipita so waliokufa wamekufa waliopona ndio wapo kina mwandosya, mpango etc sasa jiwe alisaidia nini?
 
Hili suala!! Linahitaji tafiti Kweli za kisayansi, Ila maamzi yake yanahitaji Hekima kuliko huo utafiti wa kisayansi

Ni kweli kabisa lakini Rais kusema hatukuwa na msimamo kuhusu hili swala la Corona ni unafiki na uongo mkubwa!
 
Samia anaweza kuwa mjinga lakini ni wazi Magufuli alishughulika na Covid kilimbukeni kabisa (Primitive) ndiyo maana ilimuondoa, Naamini mama samia atashughulika nalo Kisayansi.
Usiwe Mpumbavu Hakuna Atakaye Ishi Milele, We Choko Whithout The Covid People Can Not Die? Sayansi Inatulazimisha Pia Tuvae Barakoa. Sijamuoa Huyo Mama Yenu Akivaa Barakoa... Hiyo Ni Signal Ya Unafiki Na Hatua Za Awali Kuonesha Rais Wenu Yupo Tu Kama Msukule, Kuna Watu Wameshika Remote
 

Mama anania ya dhati ya kupambana na gonjwa hili. Kwa hatua anazochukua tutavuka.

Watu kama mleta mada mmetuchelewesha sana.
 
Anataka wamshauri nini asichojua? Huu nao ni uongo mtupu na upotevu wa pesa! Hivi kweli hatuna msimamo juu ya Corona? Leo hii amesahau kuwa avai barakoa? Hajui kutovaa Barakoa ni msimamo tayari?
Tungekuwa na msimamo tungezipimisha kware, mimbuzi , makondoo, mapapai na oil za magari maabara kuu ya taifa ?!

Odhis *
 
Mbona umelazimisha tu Astrazeneca kwani hakuna chanjo nyingine tofauti na hiyo?

Chanjo ambayo inatakiwa kuletwa tanzania ni Astrozeneca sasa Rais badala ya kuwambia watu wajiandae kudungwa yeye anasema ameunda kamati wakati anajua fika wameshakubali kuletwa chanjo ya Astrazeneca na alishaamua...kwanini anajificha nyuma ya kamati
 
Mataga na wapiga vigelegele wa Sukuma gang mnapita katika kipindi kigumu sana.

Ghafla mmegeuka kuwa wapinzani. Hahahahaha

Sasa hii ina uhusiano gani na mada wewe kijana!
 
Sukumaz wamepoteana baada ya jamaa yao kusepa na mdudu. Wamebaki kumshambulia mama wa watu wakati Jiwe mwenyewe ndio alizembea mpaka ronaa ikasepa nae
Kilichomlaza JPM bado ni kitendawili. Bado kuna theory kuwa ni outside job kwa kushirikiana na insiders. Vita ya kiuchumi ni very real.

Vyovyote vile, kaacha alama mioyoni mwa watu isiyofutika kirahisi. Msifurahie kupita kiasi.
 
We mjinga nini?
Kwani Rais ni Daktari?
Na anafanya weledi kuwatumia wataalam kuliko yule alisema tuijfukize na kula Bupiji, halafu akaondoka yeye!

Mimi sio mjinga nimehoji!

Hivi Rais anapokuwa avai barakoa anafikiri amefata msimamo gani kuhusu Corona?
Anajificha nyuma ya kamati maana hata mtoto mdogo anajua fika kuwa kamati itamwambia afanye Lock down,watu wavae barakoa, Watu wajiandae na Astrazeneca!

Rais anaogopa kuonekana alikuwa kinyume na msimamo wa mtangulizi wake na hicho kichaka cha kamati ndio anataka kukitumia!
 
Unataka tuweke lock down, huo ndio utaalam unaotaka, hao wenye lock down wanakufa wengi zaidi ya Tz sasa nini faida ya lockdown ? SSH ana tatizo, tena ni KUBWA.
Mkuu una tkkwimu za waliokufa na korona hapa kwetu?
Wamekufa wengi kwa sababu wana records sisi unaweza hata kusema hakuna aliyekufa na korona na ukawa sahihi, maan a hatukichagua kusema hali halisi
 

Mkuu punguza jazba

Kama Rais hajui msimamo wa nchi kuhusu Corona sasa kwanini amekuwa Rais?
Sasa kutovaa barakoa ni msimamo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…