#COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?

Tunataka msimamo Kisayansi sio wa Huo wa wapiga nyungu akina Jafo . Na lile banda la Nyungu pale Muhimbili ling'olewe lipelekwe Makumbusho

Kutovaa Barakoa kwa Samia ni msimamo gani na aliutoa wapi? Kwanini ana danganya tanzania hatuna msimamo?
 

Nimekuelewa lakini Rais asitudanganye kuwa Tanzania hatuna msimamo kuhusu Corona!

Atwambie kutovaa kwake Corona ni msimamo gani kuhusu Corona?
 
Huyo mungu aliyeruhusu Magufuli afe na hiyo Corona ndiye huyo aliyeruhusu wewe usife na Corona??

Mbona ni kama unakichwa kikubwa lakini kumbe mavi tupu yamejaa kichwani
 

Sasa nani alimshauri asivae barakoa?
Hivi kweli unafikiri kamati inaweza kumshauri nini cha ziada kuhusu Corona?
 
Kamati itamshauri tupate chanjo, ya aina gani na kwa utaratibu gani.
Sasa nani alimshauri asivae barakoa?
Hivi kweli unafikiri kamati inaweza kumshauri nini cha ziada kuhusu Corona?
 

Mkuu kujitathmini mwenyewe kuhusiana na ujinga au werevu si sahihi sana.

Kwamba maamuzi ya wataalamu ni yapi, kwanini kuandikia mate?

Ushauri wa kitalaamu ni wa kuzingatiwa bila ya kujali utasema vipi.

Salama yetu iko ndani ya ushauri wa kitalaamu tu wala si vinginevyo.

Kumbuka kama social distancing inazingatiwa 100% hakuna haja ya barakoa wala lockdown.

Kama social distancing haiwezekaniki Barakoa ni lazima.

Kama kuna maeneo ugonjwa utapunguzwa kasi kwa udhibiti zaidi ikiwamo lockdown, na iwe hivyo!
 

Mtani mimi ninachosema Rais asiseme kuwa hatukuwa na msimamo kuhusu Corona maana itakuwa ni uongo na unafiki...
Hivi kweli unafikiri kamati itamshauri nini cha ziada asicho kijua?
Au ana ajenda zake anataka kuzipenyeza kwenye mgongo wa kamati?

Kwanini avai barakoa? Huo ni msiamo gani?
 
Hiyo inaitwa "safe mode" au diplomatic approach, usipende kutafuniwa kila kitu, hatua za Rais mpaka sasa na body language yake vinaongea kwa sauti kubwa kuhusu mitazamo yake kuhusu mwendazake, kila mtu mwenye akili amemuelewa Rais, isipokuwa wewe tu ndio unasubiri kila kitu akutafunie kila kitu! sometimes you need to connect the dots to solve the equation, period.
 
Bado mnamboleza kifo cha Mungu wenu sio ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mungu hataki dhihaka mzee. Korona imemchukua jiwe wenu na sasa watu wamekuwa free kuexpress what they truly are, jiwe was a curse to this country.
Hadi sasa Mama Samia havai barakoa,mwanzo tulisema ni kwa sababu ya Jiwe ila sasa Jiwe hayupo ila bado Mama samia havai barakoa wala hata kusisitiza tu watu wavae barakoa.

Anamuogopa nani?
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Muhimu, Mama asitumie nguvu.

Baadhi ya maoni ya Watanzania kuhusu chanjo..

View attachment 1746410

Mkuu tulio tayari kuchanjwa kabla yake ututake radhi.

Msimuwekee watanzania wote kama vile tumewatuma. Mbona mapendekezo yamekuwa wazi kabisa?

Achanjwe anayetaka. Msiokubali kuchanjwa hakuna anayewalazimisha. Ila kuvaa barakoa ni muhimu kuwa lazima. Hamuwezi kuachwa kutaka kuwaambukiza wengine kwa raha zenu. Au vipi jombi?
 
Magu bwana alikuwa comedian haswa! Eti sisi anatwambia kwenye Korona tumtegemee Mungu wakati yeye kajizungushia mabunduki mia mia, sijui alishindwa nini kumtegemea Mungu amlinde badala ya bunduki chungu mzima! Mwache apite hivi? Sijui tumwite juha au mnafiki mkubwa?!
 
Tunataka msimamo Kisayansi sio wa Huo wa wapiga nyungu akina Jafo . Na lile banda la Nyungu pale Muhimbili ling'olewe lipelekwe Makumbusho
Mtaalamu wa nyungu alivaa barakoa , msibani , kwa kweli nilishangaa sana
 
Hadi sasa Mama Samia havai barakoa,mwanzo tulisema ni kwa sababu ya Jiwe ila sasa Jiwe hayupo ila bado Mama samia havai barakoa wala hata kusisitiza tu watu wavae barakoa.

Anamuogopa nani?

Na bado tunajiuliza kama anasema Tanzania hatuna msimamo kuhusu Corona sasa hebu tujiulize kama havai barakoa sasa huo ni msimamo gani kuhusu Corona?
 
Nimekuelewa lakini Rais asitudanganye kuwa Tanzania hatuna msimamo kuhusu Corona!

Atwambie kutovaa kwake Corona ni msimamo gani kuhusu Corona?
Hebu tuende kiroja kwa hoja tuandikie msimamo wa Tanzania kuhusu Covid 19.
 
magufuli alikuwa sahihi.
Kuhusu chanzo cha kifo chake umeshaambiwa sasa unapolazimisha kuwa alikufa na Corona unatia mashaka..
mbinu za kupambana na Corona za magufuli zilizaa matunda..
Mpaka sasa yanaonekana.
KUFA KWAKE NI AHADI ALIYOWEKEANA NA MUNGU WAKE
 

Sasa turudi kwenye mada huyo ameshakufa sisi tupo! Rais havai barakoa bado anasema Tanzania hatuna msimamo kuhusu Corona aoni kama anasema uongo na unafiki? Hajui kuwa kutovaa barakoa nao ni msimamo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…