Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
- Thread starter
- #101
Tunataka msimamo Kisayansi sio wa Huo wa wapiga nyungu akina Jafo . Na lile banda la Nyungu pale Muhimbili ling'olewe lipelekwe Makumbusho
Kutovaa Barakoa kwa Samia ni msimamo gani na aliutoa wapi? Kwanini ana danganya tanzania hatuna msimamo?