UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Hadi sasa Mama hata barakoa tu havai wala hajaigusia sasa sijui haogopi nae kuondolewa na corona kama mwenzie?Samia anaweza kuwa mjinga lakini ni wazi Magufuli alishughulika na Covid kilimbukeni kabisa (Primitive) ndiyo maana ilimuondoa, Naamini mama samia atashughulika nalo Kisayansi.