masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Kama huelewi sasa tukupashe vizuri.Mimi sio mjinga nimehoji!
Hivi Rais anapokuwa avai barakoa anafikiri amefata msimamo gani kuhusu Corona?
Anajificha nyuma ya kamati maana hata mtoto mdogo anajua fika kuwa kamati itamwambia afanye Lock down,watu wavae barakoa, Watu wajiandae na Astrazeneca!
Rais anaogopa kuonekana alikuwa kinyume na msimamo wa mtangulizi wake na hicho kichaka cha kamati ndio anataka kukitumia!
Text book ujinga ni kujidai unajua kilakitu wakati hujui.
Mtangulizi wake kwa mabavu aliyokuwa anatumia nani alikuwa anahoji maamuzi yake?
Yule alikuwa kombe la wanaharamu unalipisha lipite.
Kina Kigwangala ndio tunawasikia sasa wakipinga yaliyotokea.
They know now they are safe.
Kina Mzee Shamte walidiriki kuhoji maamuzi yake wamefia jela kwa kubambikwa kesi za uhujumu uchumi.
Mama kapatia kabisa, ukiwa rais siyo kwamba wewe unajua kila kitu, tubu kila mtu kwa akili yako.
Katika hili mama yuko rught 101%.
Mnaopinga muko na ajenda, uzuri mnajulikana.