Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?


Poleee
 
Rais ni rais tu Siku zote .hawezi kukosa mvuto .msitake kutudanganya apa
 
Kwani alikuwa nje ya hilo gari? Si alikuwa utingo?
sasa km dereva alikuwa Msukuma lazima kuna abiria walizoea lift na kupiga soga za kisukuma kinawauma
hebu mwacheni Mama akamate usukani mm kuiachia Tweeter na bundles namhusudu sana na namuombea kwa MUNGU
 
k
Kweli tupu
 
Nyie wahutu mliojivika usukuma rudini kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana
 
Amekosa mvuto kwako umbwa wewe mama anakubalika balaa jua kama ulikua hujui
 
Unataka rais akuvutie wewe ni nani,shenzi wewe.
 
Rekebisha kichwa cha habari.maudhui Yako yamejaa ushauri tofauti na kichwa cha habar.nakushauri kichwa cha habari kisomeke hivi mh rais tupia jicho mambo haya ili kuendana na falsafa Yako.
daaah...... mwanangu nzelu mwana za bwino we nihatari utafkiri we ndio ulianzisha somo la fasihi andishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…