Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Wewe na mleta Uzi wote ni wapuuzi!!
 
Kwake yeye itakuwa
Wazee wa masaa 24 kulalamika
Sahv gari linawatoa roho

Ova

Kumbe shida ni ile marcidisebenzi😂😂😂

Kwani Benzi yenyewe inasemaje😆😆😆
 
Kiswahili ni kigumu.

Swali huwa lina alama (?).

Panapo hiyo ni kukosa kuelewa tu, kudhani unaambiwa au hata kupata wazo kuwekewa neno achilia mbali mdomoni.

Shida yako wewe ni kutaka kila mtu awe kile unachokitaka wewe
 
Rekebisha kichwa cha habari.maudhui Yako yamejaa ushauri tofauti na kichwa cha habar.nakushauri kichwa cha habari kisomeke hivi mh rais tupia jicho mambo haya ili kuendana na falsafa Yako.
Ushauri umepokelewa lakini si lazima nilifanyie kazi
 
Usiniwekee maneno mdomoni..... nimeachana na nani?
Serikali yetu ipo imara
Huwezi mlinganisha SAMIA SULUHU au DR MPANGO na SALUM MWALIMU au TUNDU

Kumbe ilibidi ukarekebishe zaidi? Mstari wa kwanza nilishaujibu.

Mstari mpya wa pili kuwa umeachana na nani? Pia ni kutokana na kutolewa kiswahili.

"Nao" - wazi wazi ilikuwa ni u-Mataga.

Mengine yaliyofuata ni utopolo ule ule tokea kwa Mataga na lile genge ambalo kiswahili siyo lugha yao ya taifa.

Ukweli mchungu:



Tulieni hivyo hivyo kazi inapoendelea.
 


Chadema mna nongwa kama nywele
 
Ivi nyie mmerogwa au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…