Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Bila Mataga na lile genge lenu la kikabila mbona mama hata ulinzi hahitaji?

Mama ni kipenzi cha wengi na hasa walio wazalendo.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.

Kama wewe na chadema sio wanafki lini mmeanza kuipenda CCM 😆😆😆

Mnachokitaka nusunusu mtakipata kikiwa kamili🤣🤣
 
Nyie ambao mnataka hotuba za kufokea watu na matusi ndio mnaona Raishana mvuto. Rais kwangu ana mataumaini makubwa sana hasa kwenye kukuza sekta binafsi iliyokuwa inapumulia mashine, na kurekebisha uhusiano na majirani na biashara za watanzania kuruhusiwa kuendelea kati yake na nchi jirani. Samia kaenda Kenya siku mbili tu tayari malori yaliyokuwa yemekwama mpakani yanaruhusiwa kwenda kuuza mahindi Kenya

Sio kiki za kutembea na makamera muda wote na kufokafoka, matusi, rais sio celebrity kila siku kwenye camera na mitandaoni huku wananchi hali ngumu, biashara haziendi, ajira hakuna na majirani wametupiga pini

viongozi wanaingia na kuongoza mtaifa makubwa na kuyapaisha kiuchumi huwaoni wakifokea watu hovyo hadharani
 
Hii haihusiani na ufuasi wa nani na nani?
Basi muacheni Mama aende style yake. Niliwahi kumsikia Maghufuli siku Ile anaongea na wastaafu Dar akisema "Aachwe atakosolewa akimaliza muhula wake". Na alienda mbali zaidi kuwaambia baadhi yao, wanawashwa washwa. Mungu hakupenda afike huko.

So kwa Mama ni vigumu sana kubadilika ukiwa na muundo na mfumo ule ule.
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwenda zako unataka wateule wa jpm wabwagwe wakati ndio magufulists wana imani nao kuhusu kuendelezwa fikra na utendaji wa magufuli.
 
Jamani wafuasi wa Jiwe hebu muacheni Mama afanye kazi zake. Mbona Jiwe kila alipohutubia ni yale yale. Alikuwa na mapya yapi au msisimko upi?!

Kwa ujumla unayoyaona ni madhaifu yaliomo ndani ya chama. Na tusitarajie makuuubwa kwa mama , kwa sababu waliomzunguka kuanzia usalama, chamani, serikalini all most ni wale wale.
Yaan hawa wasukuma wapumbavu sana,,dawa yake mama awashughulikie kwa namna moja au nyingine
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Mfuateni Mungu wenu ahela.
 
Kama wewe na chadema sio wanafki lini mmeanza kuipenda CCM 😆😆😆

Mnachokitaka nusunusu mtakipata kikiwa kamili🤣🤣

Hapendwi mtu wala chama bi dada.

Chadema au CCM, Mama au Jiwe? Tenda wema, utupe haki zetu, uhuru wetu, maendeleo yetu na zetu zote zilizopo. Tutakuwapo kukuunga mkono wakati wote kama watanzania wazalendo.

Mama anapotenda vyema tunampongeza, akienda fyongo tutasema kama watanzania wazalendo.

Yule wa awamu ile alikuwa akitenda fyongo mno ndiyo maana alivuna alichopanda!
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Sukuma gang mmejipanga kupinga kila jambo analolifanya rais Samia.
 
Ba
Hapendwi mtu wala chama bi dada.

Chadema au CCM, Mama au Jiwe? Tenda wema, utupe haki zetu, uhuru wetu, maendeleo yetu na zetu zote zilizopo. Tutakuwapo kukuunga mkono wakati wote kama watanzania wazalendo.

Mama anapotenda vyema tunampongeza, akienda fyongo tutasema kama watanzania wazalendo.

Yule wa awamu ile alikuwa akitenda fyongo mno ndiyo maana alivuna alichopanda!


Basi tulieni KAZI IENDELEE
 
Wakuitwa jumong [emoji23][emoji23][emoji23]amekuwa yanpol
 
Back
Top Bottom