Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Yaani kwa matarajio yako kuna kidampa anaweza kupambana na JPM
JPM kupita 2020 hiyo haihitaji hata kukuna kichwa.
Sasa kwa akili yako unafikiri kwa vile Membe anakubalika na kikundi chabwatu wake wa Rondo basi atashinda Urais?
Nakumbuka kauli ya polepole wakati tupo mkutano wa UVCCM vijana jiungeni Jamiiforums mkapambane na hoja tutawaona haujaonywa tu bado boss?Yaani kwa matarajio yako kuna kidampa anaweza kupambana na JPM.
Sio tu ndani ya Tanzania Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi wa mfano Africa na Dunia.
Anajua atashinda ndio. Au marekani itaimulika Nec?
Hata kama ni siasa, ni vyema majaliwa ya mwanadamu yakawekwa mikononi mwa Muumba wake. Hakuna kitu kibaya kama kuwa na kiburi cha uzima kutokana na madaraka ama utajiri.
Pengine labda tukuchulie alikuwa akifanya utani tu kwa wateule wake, ijapokuwa kwa kumaanisha ni yeye mwenyewe ambaye ndiye aliyewatuma kutia nia kwa malengo yake ya baadaye.
Kwani mkuu tume na Magufuli wana tofauti gani?huyu faza anajulikana toka huko nyuma kwamba anawateuwa watu kwa kazi fulani na mshahara wanalipwa but unamkuta tena yeye ndiye anaye-act kuongoza zile idara alizofanya teuzi tayari.Kwanini ajitangazie?
Asubiri tume itangaze.
Au tunaenda kupiga kura za nini? Si aache tu tuelewe moja
Mbona hadi Lissu anaamini ashapitishwa na CDM na kuukwaa Urais.Basi tusitanye uchaguzi wa Rais
Tusipoteze rasilimali bure
Ebooo
Kuna maandamano makubwa apa Italia wanataka aende akawe kiongozi wao.Yaani kwa matarajio yako kuna kidampa anaweza kupambana na JPM.
Sio tu ndani ya Tanzania Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi wa mfano Africa na Dunia.
Kwani mkuu tume na Magufuli wana tofauti gani?huyu faza anajulikana toka huko nyuma kwamba anawateuwa watu kwa kazi fulani na mshahara wanalipwa but unamkuta tena yeye ndiye anaye-act kuongoza zile idara alizofanya teuzi tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app