Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Hii ya Rais wa sasa kuwakataza wateule wake wasiende kugombea eti kuwa waridhike na akiwataka kuingia kwenye Baraza la Mawaziri atawateua.
Najiuliza ameshajihesabia kuwa ameshashinda? Kwa Mamlaka gani ambayo anayo na kujihakikishia ushindi? What if akapigwa za uso?
Anyway, nimejiuliza pia hawa wateule kushupaza shingo ni kuwa wanajua hatapita? He he he! Wameamua wajiendee mjengoni wakawe wapinzani, au hawakuridhika na utendaji kazi wake wameona waende kwenye muhimili mwingine?
Nawaza tu jamani, kuwaza ni kukomaza ubongo.
Najiuliza ameshajihesabia kuwa ameshashinda? Kwa Mamlaka gani ambayo anayo na kujihakikishia ushindi? What if akapigwa za uso?
Anyway, nimejiuliza pia hawa wateule kushupaza shingo ni kuwa wanajua hatapita? He he he! Wameamua wajiendee mjengoni wakawe wapinzani, au hawakuridhika na utendaji kazi wake wameona waende kwenye muhimili mwingine?
Nawaza tu jamani, kuwaza ni kukomaza ubongo.