Hata kama ni siasa, ni vyema majaliwa ya mwanadamu yakawekwa mikononi mwa Muumba wake. Hakuna kitu kibaya kama kuwa na kiburi cha uzima kutokana na madaraka ama utajiri.
Pengine labda tukuchulie alikuwa akifanya utani tu kwa wateule wake, ijapokuwa kwa kumaanisha ni yeye mwenyewe ambaye ndiye aliyewatuma kutia nia kwa malengo yake ya baadaye.