Uchaguzi 2020 Kwanini Rais anajitangazia ushindi?

Hili linatakiwa kuthibitishwa kivitendo co kwa kuhangaika huku
Yaani kwa matarajio yako kuna kidampa anaweza kupambana na JPM. Sio tu ndani ya Tanzania Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi wa mfano Afrika na Dunia.
 
Kumbukeni membe sio kama lowasa hawezi kukubali yani ashinde afu mumwambie kashindwa panaweza paka chimbika membe ni mtatata sana yule jamaa kwaiyo bac mm navyoona uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu mno...
 
Lakini Jana nimemsikia akitumia neno "kama nitashinda", au ilikuwa geresha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…