Uchaguzi 2020 Kwanini Rais anajitangazia ushindi?

Uchaguzi 2020 Kwanini Rais anajitangazia ushindi?

Hii ya Rais wa sasa kuwakataza wateule wake wasiende kugombea eti kuwa waridhike na akiwataka kuingia kwenye Baraza la Mawaziri atawateua.

Najiuliza ameshajihesabia kuwa ameshashinda? Kwa mamlaka gani ambayo anayo na kujihakikishia ushindi? What if akapigwa za uso???!

Anyway

Nimejiuliza pia hawa wateule kushupaza shingo ni kuwa wanajua hatapita? He he he heeeeeeeee.....wameamua wajiendee mjengoni wakawe wapinzani? Au hawakuridhika na utendaji kazi wake wameona waende kwenye muhimili mwingine..


Nawaza tu jamani.....kuwaza ni kukomaza ubongo.
JPM si ndo Yule wa CCM ambaye hata hajatumia gharama yoyote kuhusu Corona, yeye akatambua nguvu isiyoshindika ya mwenyezi Mungu ndo unamzungumzia huyo siyo?

Kama ni huyo, pigia mstari swali lako kuwa ndilo jibu, na usiulize tena swali kama Hilo utajishushua heshima
 
Nakumbuka kauli ya polepole wakati tupo mkutano wa UVCCM vijana jiungeni Jamiiforums mkapambane na hoja tutawaona haujaonywa tu bado boss?
Mimi sio kijana wa 82...ha ha ha
Nimo humu pengine kabla ya polepole hajajiunga CCM.
 
Hii ya Rais wa sasa kuwakataza wateule wake wasiende kugombea eti kuwa waridhike na akiwataka kuingia kwenye Baraza la Mawaziri atawateua.

Najiuliza ameshajihesabia kuwa ameshashinda? Kwa mamlaka gani ambayo anayo na kujihakikishia ushindi? What if akapigwa za uso?

Anyway, nimejiuliza pia hawa wateule kushupaza shingo ni kuwa wanajua hatapita? He he he! Wameamua wajiendee mjengoni wakawe wapinzani, au hawakuridhika na utendaji kazi wake wameona waende kwenye muhimili mwingine?

Nawaza tu jamani, kuwaza ni kukomaza ubongo.
Mheshimiwa take ease maisha yaendelee. Uchaguzi ulishamalizika. Usiumize kichwa.
 
What if akashindwa.

Atawapa maisha hawa wateuele wake waliokuwa na ndoto za ubunge?
Ashindwe kirahisi tu? Na akubali kirahisi tu kukabidhi nchi na majeshi na usalama wa taifa? We unaona hilo likitokea kirahisi kwa aina ya raisi tuliye naye?
 
Hii ya Rais wa sasa kuwakataza wateule wake wasiende kugombea eti kuwa waridhike na akiwataka kuingia kwenye Baraza la Mawaziri atawateua.

Najiuliza ameshajihesabia kuwa ameshashinda? Kwa mamlaka gani ambayo anayo na kujihakikishia ushindi? What if akapigwa za uso?

Anyway, nimejiuliza pia hawa wateule kushupaza shingo ni kuwa wanajua hatapita? He he he! Wameamua wajiendee mjengoni wakawe wapinzani, au hawakuridhika na utendaji kazi wake wameona waende kwenye muhimili mwingine?

Nawaza tu jamani, kuwaza ni kukomaza ubongo.
Nafikiri wewe ndio mgeni wa nchi hii kama hujajua bado kwamba kashashinda.
 
Nakumbuka kauli ya polepole wakati tupo mkutano wa UVCCM vijana jiungeni Jamiiforums mkapambane na hoja tutawaona haujaonywa tu bado boss?
Hahahaa Kumbe wanataka uteuzi tu? Pole Pole anajua hadi Majina halisi ya hawa walamba miguu ya MEKO!!
 
Hii ya Rais wa sasa kuwakataza wateule wake wasiende kugombea eti kuwa waridhike na akiwataka kuingia kwenye Baraza la Mawaziri atawateua.

Najiuliza ameshajihesabia kuwa ameshashinda? Kwa mamlaka gani ambayo anayo na kujihakikishia ushindi? What if akapigwa za uso?

Anyway, nimejiuliza pia hawa wateule kushupaza shingo ni kuwa wanajua hatapita? He he he! Wameamua wajiendee mjengoni wakawe wapinzani, au hawakuridhika na utendaji kazi wake wameona waende kwenye muhimili mwingine?

Nawaza tu jamani, kuwaza ni kukomaza ubongo.
amejihakikishia ushindi kupitia dola,siyo kwenye sanduku la kura
 
Yaani kwa matarajio yako kuna kidampa anaweza kupambana na JPM. Sio tu ndani ya Tanzania Rais John Pombe Magufuli ni kiongozi wa mfano Africa na Dunia.

Angekuwa ana hizo sifa basi Tundu Lissu asingemuona kama Rais wa ajabu kuwahi kutokea nchini, na pia asingemfananisha na Dikteta Uchwara.
 
Hili la msingi sana hatujui ya kesho.

Kumkataza mtu kutimiza ndoto zake huku wewe ukiwa hujui kama kesho utaishi ama utashinda si jambo jema hata kidogo.
Huwezi kujua utadumu muda gani kwenye uteule lakini ubunge ni miaka mitano na bosi wako si mtu mmoja bali wapiga kura wako.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Yeye ndio tume, yy ndio polisi na yy ndio vyombo vya dola......
Ni sawa na uhuni wa kwenda kutafuta mgombea wa ccm dodoma wkt kalazimisha abaki peke yake.....
 
JPM si ndo Yule wa CCM ambaye hata hajatumia gharama yoyote kuhusu Corona, yeye akatambua nguvu isiyoshindika ya mwenyezi Mungu ndo unamzungumzia huyo siyo?

Kama ni huyo, pigia mstari swali lako kuwa ndilo jibu, na usiulize tena swali kama Hilo utajishushua heshima

Hivi usipoheshimiwa unatoboka ee? Au unakuwa mdogo?
 
Hii ya Rais wa sasa kuwakataza wateule wake wasiende kugombea eti kuwa waridhike na akiwataka kuingia kwenye Baraza la Mawaziri atawateua.

Najiuliza ameshajihesabia kuwa ameshashinda? Kwa Mamlaka gani ambayo anayo na kujihakikishia ushindi? What if akapigwa za uso?

Anyway, nimejiuliza pia hawa wateule kushupaza shingo ni kuwa wanajua hatapita? He he he! Wameamua wajiendee mjengoni wakawe wapinzani, au hawakuridhika na utendaji kazi wake wameona waende kwenye muhimili mwingine?

Nawaza tu jamani, kuwaza ni kukomaza ubongo.
Watu wamechoka sasa na rais ila basi tu.
 
Back
Top Bottom