Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
Wanaweza wakanza kusifiaJe, hawa waandishi wetu wana weledi na ujasiri wa kutosha kuuliza maswali ya msingi yanayowakosesha usingizi mamilioni ya Watanzania?
Kwanini rais wetu mpendwa hafanyiwi interview na vyombo vya habari vya ndani??
Shida ni nini hasa??
Nishamuona akihojiwa na BBC!! Nao wanadai wamemuomba na kusubiri muda mrefu mpaka kukubaliwa!!
Je hii ndio kusema Vyombo vya habari havina uwezo au Mkuu wa nchi haoni haja ya kuhojiwa na wanafunzi wake??
Comment ziwe fupi fupi muda mchache😎
Nakumbuka Tido Mhando (Azam) na Bakari Machumu (Mwananchi Com.) waliwahi kufanya interview na Mh. SSH.Kwanini rais wetu mpendwa hafanyiwi interview na vyombo vya habari vya ndani??
Shida ni nini hasa??
Nishamuona akihojiwa na BBC!! Nao wanadai wamemuomba na kusubiri muda mrefu mpaka kukubaliwa!!
Je hii ndio kusema Vyombo vya habari havina uwezo au Mkuu wa nchi haoni haja ya kuhojiwa na wanafunzi wake??
Comment ziwe fupi fupi muda mchache😎
Ni swali mi siyo TISSWe unatutega si ndio...tuache
😂😂😂ebuuu tusichoshane mkuuNakumbuka Tido Mhando (Azam) na Bakari Machumu (Mwananchi Com.) waliwahi kufanya interview na Mh. SSH.
Naomba nikapitir tena hiyo interviewAlishafanyiwa Interview na BBC Swahili na Salim Kikeke
Maswali mepesi na ya mtego yalimtoa kwenye reli na ikawa mwisho wa kipindi 😀
nyie nisije nikapotezwa😂😂Mdomo koma
Master open universityKwanini rais wetu mpendwa hafanyiwi interview na vyombo vya habari vya ndani??
Shida ni nini hasa??
Nishamuona akihojiwa na BBC!! Nao wanadai wamemuomba na kusubiri muda mrefu mpaka kukubaliwa!!
Je hii ndio kusema Vyombo vya habari havina uwezo au Mkuu wa nchi haoni haja ya kuhojiwa na wanafunzi wake??
Comment ziwe fupi fupi muda mchache😎
ndio nnMaster open university
Yaan ndio nimeamini Kenya ni nchi tofauti sanaJana Ruto kabanwa mpaka huruma.
NadhanWengi wa watu uwajuao wako wepesi sana kichwani.
😂😂😂Nyie😂😂😂Mimi mwenyewe nasubiri kushuhudia PhD zinavyofanyakazi