Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

 
Another fabricated idiot by kizimkazi
 
Kiufupi alikuwa miongoni mwa wasaliti
 
I wish ungekuwa wewe ukawekwa ndani mpaka Mama yako akaiomba Serikali ikuachie kwa sababu wewe ndiye Masada wake pekee lakini ikaziba masikio nadhani hapo ndipo ingependeza sana. Hata hayo mawazo ya kubwabwaja yangekutoka!!
 
SWALI: kuna mwandishi mmoja aling'olewa meno na kutolewa kucha, akaenda Afrika kusini kutibiwa, anaitwa nani?? Siyo huyu Kabendera?
 
Na cover lake ndo hilo kipindi mzee baba amepeleka bastora yake kukaguliwa
Mama Samia nae awe mwangalifu sana,maana watu wengine watatumia ile picha yake wakati ana hamasisha uchomaji wa chanjo ya corona kwa manufaa yao kama Kabendera alivyo tumia picha ya Magufuli wakati anahamasisha ukaguzi wa silaa!!
 
Kwa taarifa yako Mimi natamani siku Moja serikali ipige marufuku ukoo wote wa Magufuli kushiriki siasa Tanzania mpaka kizazi Cha 8.
 




Shida ya watanzania ni kudandia mambo, hivi unadhani kweli Kabendera alipata shida kwa sababu ya nakala za ujinga alioongea kwenye interview yake ya kuuza kitabu.

Au unaamini kweli hadithi zake za watu kutekwa sijui kuwa na ushahidi.

Kabendera alikuwa anaichafua nchi na kuwaambia wawekezaji wa kimataifa Tanzania sio sehemu salama ya kuwekeza akishirikiana na mafisadi kuichafua nchi.

Unadhani huyo Kabendera ni mtu wa maana kweli au alionewa na machozi yake ya mamba.

If anything Magufuli alimuonea huruma na kumtoa tu, ugomvi wake ulikuwa na usalama wa taifa.

Akitokea mwandishi mwingine zama hizi za Samia na kufanya aliyokuwa anafanya Kabendera atapewa treatment zilezile.

Ni kwamba mafisadi yanatudharau tu, maana yanaamua wao namna ya ku shape narrative kwa mambo yanayofanana (huyu mpe, huyu muache).

Zama za Magufuli walikuwa wanatengeneza mazingira ya kumu-attack, wanaenda chukua maiti mochwari zisizo na ndugu na kutupa baharini.

Ili umpinge Magufuli nafuu uwe sasa hivi unanufaika vinginevyo, ni mpumbavu wa hali ya juu kusikiliza hizi hadithi za majizi.

Kabisa unaamini Kabendera ujinga wake alikuwa anaandikia audience ya Tanzania, yeye alikuwa anaichafua serikali nje ya nchi.

Unadhani alichoongea kwenye interview yake ni genuine, zaidi ya machozi ya mamba tu; msaliti mkubwa yule.

Alistahili kila kilichompata kwa matendo yake. Hao watu sio wazuri wana kundi la kuwalipa tu la ku-shape narrative kwenye social media.
 
Yaani mwandishi apindue nchi!,je alikuwa anamiliki jeshi?,,pili je ndo achukuliwe hatua kali kiasi hicho?kwani sheria yasemaje kwa mtu kama huyu,si ni kufunguliwa tu mashtaka mahakamani?,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…