Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unataka kusema Pascal Mayalla alikuwa ànamzuia kabendera asiendelee kufichua ufisadi wa serikali uliokuwa unawekwa wazi na kabendera?Kuna page ya kabendera imemwandika Pascal Mayalla.
Yaani Kabendera kusema Serikali ya ccm ninya kifisadi tena akianishia namna ufisadi unavypanyika. Kwa mtu mwema angesema Mwandishi amemsaidi kuibua wizi. Lakini yeye wala hana habari ndio kwanza anakutia ndani eti unaichafua serikali yake.
Je mafisadi na majizi wanatokea wapi?,,![]()
John Magufuli is bulldozing the opposition and wrecking the economy
“African socialism” did not work in Tanzania last time, eitherwww.economist.com
View attachment 3192819
![]()
Tanzania’s leader, the “Bulldozer”, runs off course
President John Magufuli hates critics, gay people and accurate statisticswww.economist.com
Shida ya watanzania ni kudandia mambo, hivi unadhani kweli Kabendera alipata shida kwa sababu ya nakala za ujinga alioongea kwenye interview yake ya kuuza kitabu.
Au unaamini kweli hadithi zake za watu kutekwa sijui kuwa na ushahidi.
Kabendera alikuwa anaichafua nchi na kuwaambia wawekezaji wa kimataifa Tanzania sio sehemu salama ya kuwekeza akishirikiana na mafisadi kuichafua nchi.
Unadhani huyo Kabendera ni mtu wa maana kweli au alionewa na machozi yake ya mamba.
If anything Magufuli alimuonea huruma na kumtoa tu, ugomvi wake ulikuwa na usalama wa taifa.
Akitokea mwandishi mwingine zama hizi za Samia na kufanya aliyokuwa anafanya Kabendera atapewa treatment zilezile.
Ni kwamba mafisadi yanatudharau tu, maana yanaamua wao namna ya ku shape narrative kwa mambo yanayofanana.
Zama za Magufuli walikuwa wanatengeneza mazingira ya kumi-attack.
Ili umpinge Magufuli nafuu uwe sasa hivi unanufaika vinginevyo, ni mpumbavu wa hali ya juu kusikiliza hizi hadithi za majizi.
Kabisa unaamini Kabendera ujinga wake alikuwa anaandikia audience ya Tanzania, yeye alikuwa anaichafua serikali nje ya nchi.
Unadhani alichoongea kwenye interview yake ni genuine, zaidi ya machozi ya mamba tu; msaliti mkubwa yule.
Alistahili kila kilichompata kwa matendo yake. Hao watu sio wazuri wana kundi tu la ku-shape narrative kwenye social media.
Msikilize Kabendera aliokuwa kafungwa nao zama za Magufuli na kumpa umbea wa kitabu chake cha hovyo.Je mafisadi na majizi wanatokea wapi?,,
Una uelewa wa chini ya wastani. Sina muda wa kukupa maelezo how things arebeing doneYaani mwandishi apindue nchi!,je alikuwa anamiliki jeshi?,,pili je ndo achukuliwe hatua kali kiasi hicho?kwani sheria yasemaje kwa mtu kama huyu,si ni kufunguliwa tu mashtaka mahakamani?,,
Bahati nzuri Pascal Mayalla yupo humu na ni active member. Kuna ukweli hapa?Hàya majibu ànayo Pascal Mayalla , ilisemekana ndo alimchoma kabendera kwa Magufuli. Hii ni inasemekana mimi sina uhakika.
Huyu jamaa alikuwa ànatumia feki I'd huko "gazetini" kuandika màmbo ya "kuçhafua nchi"! Mayalla akamweka wazi kwa home boy wake.
Umeona! Anawaza kitoto sana,nimesoma comment yake,nikajisemea huyu atakua bado mtoto na bado hajaijua Dunia inavyokwenda! Na siku akija kuijua Dunia ya kweli ilivyo,atatamani kuyameza maneno yake!!Una uelewa wa chini ya wastani. Sina muda wa kukupa maelezo how things arebeing done
Sswa mimi mjinga ila jibu swali. Kabendera angepindua vipi hii nchi ilihali hata jeshi hana? Au ndo insecurities za jpm baada ya Kabendera kuhoji mambo ya ndnai ya familia ya JPM?Mtu mjinga kama wewe hakuna namna nitakusaidia upate akili. Pole sana
Hichi kitabu kinapaswa kiwekwe kwenye mtaala kisomwe na kila mtoto kuepuka kumpa mchi kichaa in next generation. Hii ni kwa faida hata ya CCM.Hicho kitabu ni muhimu tukisome (kama ukiweza), maswali mengi huenda majibu yake yapo humo.
Na uteuzi akaukosa.Hàya majibu ànayo Pascal Mayalla , ilisemekana ndo alimchoma kabendera kwa Magufuli. Hii ni inasemekana mimi sina uhakika.
Huyu jamaa alikuwa ànatumia feki I'd huko "gazetini" kuandika màmbo ya "kuçhafua nchi"! Mayalla akamweka wazi kwa home boy wake.
Kumbe wwe bado mtoto, hujuwi nguvu ya kalamu!? Ukitaka kujua nguvu ya kalamu ya mwandishi nenda kawaulize Rwanda kuhusu yale mauwaji ya kwao! The Rwanda genocide!!Sswa mimi mjinga ila jibu swali. Kabendera angepindua vipi hii nchi ilihali hata jeshi hana? Au ndo insecurities za jpm baada ya Kabendera kuhoji mambo ya ndnai ya familia ya JPM?
Achafue kitu kilichokuwa kimechafuka![]()
John Magufuli is bulldozing the opposition and wrecking the economy
“African socialism” did not work in Tanzania last time, eitherwww.economist.com
View attachment 3192819
![]()
Tanzania’s leader, the “Bulldozer”, runs off course
President John Magufuli hates critics, gay people and accurate statisticswww.economist.com
Shida ya watanzania ni kudandia mambo, hivi unadhani kweli Kabendera alipata shida kwa sababu ya nakala za ujinga alioongea kwenye interview yake ya kuuza kitabu.
Au unaamini kweli hadithi zake za watu kutekwa sijui kuwa na ushahidi.
Kabendera alikuwa anaichafua nchi na kuwaambia wawekezaji wa kimataifa Tanzania sio sehemu salama ya kuwekeza akishirikiana na mafisadi kuichafua nchi.
Unadhani huyo Kabendera ni mtu wa maana kweli au alionewa na machozi yake ya mamba.
If anything Magufuli alimuonea huruma na kumtoa tu, ugomvi wake ulikuwa na usalama wa taifa.
Akitokea mwandishi mwingine zama hizi za Samia na kufanya aliyokuwa anafanya Kabendera atapewa treatment zilezile.
Ni kwamba mafisadi yanatudharau tu, maana yanaamua wao namna ya ku shape narrative kwa mambo yanayofanana (huyu mpe, huyu muache).
Zama za Magufuli walikuwa wanatengeneza mazingira ya kumu-attack, wanaenda chukua maiti mochwari zisizo na ndugu na kutupa baharini.
Ili umpinge Magufuli nafuu uwe sasa hivi unanufaika vinginevyo, ni mpumbavu wa hali ya juu kusikiliza hizi hadithi za majizi.
Kabisa unaamini Kabendera ujinga wake alikuwa anaandikia audience ya Tanzania, yeye alikuwa anaichafua serikali nje ya nchi.
Unadhani alichoongea kwenye interview yake ni genuine, zaidi ya machozi ya mamba tu; msaliti mkubwa yule.
Alistahili kila kilichompata kwa matendo yake. Hao watu sio wazuri wana kundi la kuwalipa tu la ku-shape narrative kwenye social media.
umeandika maoni mazuri kabisa yasiyo na chembe ya unafiki. Kuhusu mabeberu nadhani alikuwa anasema ukweli japo wenyewe hawapendi kuambiwa.Achafue kitu kilichokuwa kimechafuka
Mbona ilikuwa wazi kuwa Magufuli hakujali kuhusu uhusiano wa kidiplomasia na nchi kubwa hususani nchi za magharibi
Yeye mwenyewe mara zote alitoa kauli controversial kwa kushutumu kuanzia viongozi wa ndani hadi mabeberu kwa matatizo yote.
Au kuweka bunge lote kuwa la kijani katika uchaguzi wa 2020, nalo kasingiziwa
Mara ngapi yeye mwenyewe alienda kinyume na makubaliano au mikataba iliyopelekea ndege za nchi kuzuiwa na billions of money serikali kulipa baada ya kifo chake ili kurudisha hayo mahusiano na nchi za kimataifa na wawekezaji.
Vitu ambavyo Tindu alivipigia kelele siku zote na vitu vilivyokuja kutokea.
Magufuli alikuwa ni Rais Mtendaji ndio maana kwenye physical infrastructures ameacha legacy kubwa Ila tukiongelea katika diplomasia, intellect, utawala wa sheria, na Demokrasia. Toka vyama vingi vianze anaweza kuwa the worst president
Na ubaya wa nchi hii ni wanachi kutetea vyama na viongozi kuliko kutetea nchi yao. Hii ndio sababu tumefika hapa
yupo wapi siku hizi na magazeti yake?Labda walijaribu kumnunua awe kama Musiba ikashindikana.
duh! Umeamua kupiga kotekoteMagufuri alikua gaidi ila kitabu Cha kubendera ni kama gazeti la udaku kaandika utumbo na kutumia mihemko