Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

Kuna page ya kabendera imemwandika Pascal Mayalla.
Yaani Kabendera kusema Serikali ya ccm ninya kifisadi tena akianishia namna ufisadi unavypanyika. Kwa mtu mwema angesema Mwandishi amemsaidi kuibua wizi. Lakini yeye wala hana habari ndio kwanza anakutia ndani eti unaichafua serikali yake.
Kwahiyo unataka kusema Pascal Mayalla alikuwa ànamzuia kabendera asiendelee kufichua ufisadi wa serikali uliokuwa unawekwa wazi na kabendera?
 

View attachment 3192819


Shida ya watanzania ni kudandia mambo, hivi unadhani kweli Kabendera alipata shida kwa sababu ya nakala za ujinga alioongea kwenye interview yake ya kuuza kitabu.

Au unaamini kweli hadithi zake za watu kutekwa sijui kuwa na ushahidi.

Kabendera alikuwa anaichafua nchi na kuwaambia wawekezaji wa kimataifa Tanzania sio sehemu salama ya kuwekeza akishirikiana na mafisadi kuichafua nchi.

Unadhani huyo Kabendera ni mtu wa maana kweli au alionewa na machozi yake ya mamba.

If anything Magufuli alimuonea huruma na kumtoa tu, ugomvi wake ulikuwa na usalama wa taifa.

Akitokea mwandishi mwingine zama hizi za Samia na kufanya aliyokuwa anafanya Kabendera atapewa treatment zilezile.

Ni kwamba mafisadi yanatudharau tu, maana yanaamua wao namna ya ku shape narrative kwa mambo yanayofanana.

Zama za Magufuli walikuwa wanatengeneza mazingira ya kumi-attack.

Ili umpinge Magufuli nafuu uwe sasa hivi unanufaika vinginevyo, ni mpumbavu wa hali ya juu kusikiliza hizi hadithi za majizi.

Kabisa unaamini Kabendera ujinga wake alikuwa anaandikia audience ya Tanzania, yeye alikuwa anaichafua serikali nje ya nchi.

Unadhani alichoongea kwenye interview yake ni genuine, zaidi ya machozi ya mamba tu; msaliti mkubwa yule.

Alistahili kila kilichompata kwa matendo yake. Hao watu sio wazuri wana kundi tu la ku-shape narrative kwenye social media.
Je mafisadi na majizi wanatokea wapi?,,
 
Hàya majibu ànayo Pascal Mayalla , ilisemekana ndo alimchoma kabendera kwa Magufuli. Hii ni inasemekana mimi sina uhakika.
Huyu jamaa alikuwa ànatumia feki I'd huko "gazetini" kuandika màmbo ya "kuçhafua nchi"! Mayalla akamweka wazi kwa home boy wake.
Bahati nzuri Pascal Mayalla yupo humu na ni active member. Kuna ukweli hapa?
 
Sswa mimi mjinga ila jibu swali. Kabendera angepindua vipi hii nchi ilihali hata jeshi hana? Au ndo insecurities za jpm baada ya Kabendera kuhoji mambo ya ndnai ya familia ya JPM?
Kumbe wwe bado mtoto, hujuwi nguvu ya kalamu!? Ukitaka kujua nguvu ya kalamu ya mwandishi nenda kawaulize Rwanda kuhusu yale mauwaji ya kwao! The Rwanda genocide!!
 

View attachment 3192819


Shida ya watanzania ni kudandia mambo, hivi unadhani kweli Kabendera alipata shida kwa sababu ya nakala za ujinga alioongea kwenye interview yake ya kuuza kitabu.

Au unaamini kweli hadithi zake za watu kutekwa sijui kuwa na ushahidi.

Kabendera alikuwa anaichafua nchi na kuwaambia wawekezaji wa kimataifa Tanzania sio sehemu salama ya kuwekeza akishirikiana na mafisadi kuichafua nchi.

Unadhani huyo Kabendera ni mtu wa maana kweli au alionewa na machozi yake ya mamba.

If anything Magufuli alimuonea huruma na kumtoa tu, ugomvi wake ulikuwa na usalama wa taifa.

Akitokea mwandishi mwingine zama hizi za Samia na kufanya aliyokuwa anafanya Kabendera atapewa treatment zilezile.

Ni kwamba mafisadi yanatudharau tu, maana yanaamua wao namna ya ku shape narrative kwa mambo yanayofanana (huyu mpe, huyu muache).

Zama za Magufuli walikuwa wanatengeneza mazingira ya kumu-attack, wanaenda chukua maiti mochwari zisizo na ndugu na kutupa baharini.

Ili umpinge Magufuli nafuu uwe sasa hivi unanufaika vinginevyo, ni mpumbavu wa hali ya juu kusikiliza hizi hadithi za majizi.

Kabisa unaamini Kabendera ujinga wake alikuwa anaandikia audience ya Tanzania, yeye alikuwa anaichafua serikali nje ya nchi.

Unadhani alichoongea kwenye interview yake ni genuine, zaidi ya machozi ya mamba tu; msaliti mkubwa yule.

Alistahili kila kilichompata kwa matendo yake. Hao watu sio wazuri wana kundi la kuwalipa tu la ku-shape narrative kwenye social media.
Achafue kitu kilichokuwa kimechafuka

Mbona ilikuwa wazi kuwa Magufuli hakujali kuhusu uhusiano wa kidiplomasia na nchi kubwa hususani nchi za magharibi

Yeye mwenyewe mara zote alitoa kauli controversial kwa kushutumu kuanzia viongozi wa ndani hadi mabeberu kwa matatizo yote.

Au kuweka bunge lote kuwa la kijani katika uchaguzi wa 2020, nalo kasingiziwa

Mara ngapi yeye mwenyewe alienda kinyume na makubaliano au mikataba iliyopelekea ndege za nchi kuzuiwa na billions of money serikali kulipa baada ya kifo chake ili kurudisha hayo mahusiano na nchi za kimataifa na wawekezaji.

Vitu ambavyo Tindu alivipigia kelele siku zote na vitu vilivyokuja kutokea.

Magufuli alikuwa ni Rais Mtendaji ndio maana kwenye physical infrastructures ameacha legacy kubwa Ila tukiongelea katika diplomasia, intellect, utawala wa sheria, na Demokrasia. Toka vyama vingi vianze anaweza kuwa the worst president

Na ubaya wa nchi hii ni wanachi kutetea vyama na viongozi kuliko kutetea nchi yao. Hii ndio sababu tumefika hapa
 
Watu wengi sana wanaponda alilofanyiwa huyu ndugu yetu ila amini nawaambia hakuna mtu anayempenda mmbea anayeichunguza na kuisema familia yake mitaani.

Hivyo ndivyo ilivyo na stahiki zake.
 
Ukitaka kujua ni kwa nini kabendera alikamatwa. Kwanza lazima ujue kabendera ni mwandishi wa habari za kichunguzi. Na habari zake alikuwa anayatumia makampuni ya kigeni hasa wingereza. Fikiria mwandishi achunguze na kupata habari nyeti na kuzituma nje ya nchi si hatari hiyo?
Ukizingatia kipindi cha magufuli kuna watu walikuwa wamejipanga kuhakikisha wanampa wakati mgumu katika kuiongoza hii nchi.

Hata hivyo nadhan kabendera ana mtandao mkubwa ndani ya serhkali unaomlinda maana mara nyingi mtu ukijua siri za ikulu usalama wako ni mdogo.
 
Achafue kitu kilichokuwa kimechafuka

Mbona ilikuwa wazi kuwa Magufuli hakujali kuhusu uhusiano wa kidiplomasia na nchi kubwa hususani nchi za magharibi

Yeye mwenyewe mara zote alitoa kauli controversial kwa kushutumu kuanzia viongozi wa ndani hadi mabeberu kwa matatizo yote.

Au kuweka bunge lote kuwa la kijani katika uchaguzi wa 2020, nalo kasingiziwa

Mara ngapi yeye mwenyewe alienda kinyume na makubaliano au mikataba iliyopelekea ndege za nchi kuzuiwa na billions of money serikali kulipa baada ya kifo chake ili kurudisha hayo mahusiano na nchi za kimataifa na wawekezaji.

Vitu ambavyo Tindu alivipigia kelele siku zote na vitu vilivyokuja kutokea.

Magufuli alikuwa ni Rais Mtendaji ndio maana kwenye physical infrastructures ameacha legacy kubwa Ila tukiongelea katika diplomasia, intellect, utawala wa sheria, na Demokrasia. Toka vyama vingi vianze anaweza kuwa the worst president

Na ubaya wa nchi hii ni wanachi kutetea vyama na viongozi kuliko kutetea nchi yao. Hii ndio sababu tumefika hapa
umeandika maoni mazuri kabisa yasiyo na chembe ya unafiki. Kuhusu mabeberu nadhani alikuwa anasema ukweli japo wenyewe hawapendi kuambiwa.
 
Back
Top Bottom