Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Duuh kumbe alitaka magaidi wa Kibiti na kwengineko watuumize wananchi ?!!Alikuwa na huruma za kibidamu, alifiwa na mama yake, lakini pia kulikuwa na pressure kubwa kutoka vyombo vikubwa vya habari vya mgharibu hasa vya Uingereza.
Kwa kukomesha ule ugaidi Actually Magufuli ameongeza uhuru kwa Watanzania wote na hasa uhuru wa vyombo vya habari hasa Pwani, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Tunduma mpakani na Msumbiji. Sehemu hiyo yote magaidi walitaka iwe himaya yao. JPM asingesimama leo tungekuwa na matatizo mengi sana.
JPM alitoa order hataki mateka. Hakuna kukopeshana walipwe haki zao kikamilifu on spot kwamba magaidi wote waangamizwe.
Kabendera yeye ndio alikuwa kiungo wao muhimu coordinate wao pia kiungo muhimu magaidi wasiwindwe mchana na usiku, jeshi lipunguze kuwasakama. Alipiga kelele nyingi kupitia report zake, tuwekewe vikwazo, wawekezaji wasije Tanzania, tume za uchunguzi zije kutoka ulaya.
Ilifikia wakati watu waliogopa kufanya shughuli zao, za kijamii, kiuchumi shughuli zao zozote kwa kuogopa kutekwa na kuuwawa hayo maeneo.
Pascal Mayalla akija kukujibu nipigwe ban wiki,anapita kimyakimya kama anaaga marehemBahati nzuri Pascal Mayalla yupo humu na ni active member. Kuna ukweli hapa?
Poor π§MWANDISHI APINDUE SERIKALI? ANA JESHI?
Huyo DPP na Magufuli wote walikuwa wehu.DPP wa wakati huo anajua.Nakumbuka kama ni makosa ya kutakatishwa pesa na kuendesha magenge ya kiharifu nchini.Aliomba msamaha Kwa DPP kuwa alishawishiwa tu na wazungu wake na baadae akaachiwa Kwa huruma
Hapana.mwehu ni weweHuyo DPP na Magufuli wote walikuwa wehu.
Mwehu ni wewe na hao majambazi unaowatetea.Hapana.mwehu ni wewe
Hii nawe umeipata kumbe,wanao mtetea wamuulize dola 130,000 kwa mwezi zilikuwa zkitoka wapi na kwa nani kuja kwake kwa kazi gani alizofanya?.Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Mnatumia nguvu kubwa sana kumsafisha mzee.Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Bahasha za nje ni NONO sana...Hii Nchi inahitaji Waandishi majasiri inahitaji Wapinzani majasiri wanaojiamini na wanaochukia RUSHWA.
Sio unapewa Bahasha halafu unamtumikia Shetani.
Kuyaandikia magazeti ya nje na kulipwa mshahara HALALI kuna nongwa gani acheni roho chafu.Bahasha za nje ni NONO sana...
Ndugu Kabendera anaweza kuwataja waliokuwa "wanamnenepesha"?!!
Hizo milioni 300 ulimwekea wewe? Wacha kuchafua watu kwa story zisizo za kweliKabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Nasikia ana andaa filamu kuhusu utawala wa jpm ! Kabendera nimhuni aliyepitilizaKibendera kaandika kitabu Kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kufedha, pamoja na kujipa relief kutokana na uchungu alionao baada ya kuenyeshwa sana na serikali ya Magufuli uliompelekea kupoteza mzazi....!!
Na kafanya hivyo sababu Kuna wenzake wengi sana ambao bado wana uchungu kama yeye na wanahitaji relief ambapo wataipata kwa kumpa support ya kununua na kukisoma hicho kitabu.
Ila Kwa bahati mbaya kwao hakuna chochote kitakachabadili image na mitazamo waliyonayo watanzania kuhusu Magufuli.
Eti ameona aandike Kwa lugha ya kigeni kabisa hahahhaha..!!
Akirudi nchini, wanae tena. Labda abaki uhamishoni maisha yoteNasikia ana andaa filamu kuhusu utawala wa jpm ! Kabendera nimhuni aliyepitiliza
πππ Magu alijitoa muhanga???Msikilize Kabendera aliokuwa kafungwa nao zama za Magufuli na kumpa umbea wa kitabu chake cha hovyo.
We unadhani kujitoa muhanga kama Magufuli kwa nchi kama Tanzania ni rahisi. .
Sisi watanzania ni ungrateful people yaani tunathubutu kumtukana kabisa Magufuli.
Magufuri alikua gaidi ila kitabu Cha kubendera ni kama gazeti la udaku kaandika utumbo na kutumia mihemko
Unaweza kuthibitisha hizi tuhuma unazomtupia Kabendera ?1. Alikuwa anatumika kuichafua nchi kwa makala zake za hovyo nje ya nchi, alitumika katika mnyororo wa kuwasaidia magaidi wa MKURA, Mkuranga,Kibiti, Rufiji, pesa zilikuwa zinatumwa kwake yeye anazisambaza.
Makala yake zikitumika kama cover ya kupata hizo pesa. Akiweka pressure wale magaidi wasizibitiwe, akizungumzia haki zao za kibinadamu bila kujali haki za binadamu waliouwawa na magaidi