Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

Nchi zetu hizi za kiafrika....unatumika kwa mapesa mengi na WALIBERALI wa nje kumzodoa kiongozi ili kutengeneza "miluzi mingi"....
Athari ya "miluzi mingi" huenda kwetu wananchi na kutuumiza zaidi ya "hapa tulipo"....

#Nchi Kwanza!
 
Alikuwa na huruma za kibidamu, alifiwa na mama yake, lakini pia kulikuwa na pressure kubwa kutoka vyombo vikubwa vya habari vya mgharibu hasa vya Uingereza.

Kwa kukomesha ule ugaidi Actually Magufuli ameongeza uhuru kwa Watanzania wote na hasa uhuru wa vyombo vya habari hasa Pwani, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Tunduma mpakani na Msumbiji. Sehemu hiyo yote magaidi walitaka iwe himaya yao. JPM asingesimama leo tungekuwa na matatizo mengi sana.

JPM alitoa order hataki mateka. Hakuna kukopeshana walipwe haki zao kikamilifu on spot kwamba magaidi wote waangamizwe.

Kabendera yeye ndio alikuwa kiungo wao muhimu coordinate wao pia kiungo muhimu magaidi wasiwindwe mchana na usiku, jeshi lipunguze kuwasakama. Alipiga kelele nyingi kupitia report zake, tuwekewe vikwazo, wawekezaji wasije Tanzania, tume za uchunguzi zije kutoka ulaya.

Ilifikia wakati watu waliogopa kufanya shughuli zao, za kijamii, kiuchumi shughuli zao zozote kwa kuogopa kutekwa na kuuwawa hayo maeneo.
Duuh kumbe alitaka magaidi wa Kibiti na kwengineko watuumize wananchi ?!!

Hatari sana
 
DPP wa wakati huo anajua.Nakumbuka kama ni makosa ya kutakatishwa pesa na kuendesha magenge ya kiharifu nchini.Aliomba msamaha Kwa DPP kuwa alishawishiwa tu na wazungu wake na baadae akaachiwa Kwa huruma
Huyo DPP na Magufuli wote walikuwa wehu.
 
Kabandera na kitabu chake ni mambo mawili yanayo hitaji Tafakuli yakinifu lakini uandishi wa Kabendera ni wazi una mikono ya kisiasa ndani yake ili kujenga Taswira mbaya kwa wafasi wa Magufuli ambao wanaonekana kumminya Rais Samia
 
Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Hii nawe umeipata kumbe,wanao mtetea wamuulize dola 130,000 kwa mwezi zilikuwa zkitoka wapi na kwa nani kuja kwake kwa kazi gani alizofanya?.
Pia ulizeni alikuwa akilipa kodi kabla ya kuzigawa kwa marafiki wa mitandaoni?
 
Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Mnatumia nguvu kubwa sana kumsafisha mzee.
 
Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Hizo milioni 300 ulimwekea wewe? Wacha kuchafua watu kwa story zisizo za kweli
 
Kibendera kaandika kitabu Kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kufedha, pamoja na kujipa relief kutokana na uchungu alionao baada ya kuenyeshwa sana na serikali ya Magufuli uliompelekea kupoteza mzazi....!!

Na kafanya hivyo sababu Kuna wenzake wengi sana ambao bado wana uchungu kama yeye na wanahitaji relief ambapo wataipata kwa kumpa support ya kununua na kukisoma hicho kitabu.

Ila Kwa bahati mbaya kwao hakuna chochote kitakachabadili image na mitazamo waliyonayo watanzania kuhusu Magufuli.

Eti ameona aandike Kwa lugha ya kigeni kabisa hahahhaha..!!
Nasikia ana andaa filamu kuhusu utawala wa jpm ! Kabendera nimhuni aliyepitiliza
 
Msikilize Kabendera aliokuwa kafungwa nao zama za Magufuli na kumpa umbea wa kitabu chake cha hovyo.

We unadhani kujitoa muhanga kama Magufuli kwa nchi kama Tanzania ni rahisi. .

Sisi watanzania ni ungrateful people yaani tunathubutu kumtukana kabisa Magufuli.
😂😂😂 Magu alijitoa muhanga???
Na wewe ukamuamini kua kajitoa muhanga..
Ccm ni walewale tu wafata ilani yao ambayo hawaifati.
 
1. Alikuwa anatumika kuichafua nchi kwa makala zake za hovyo nje ya nchi, alitumika katika mnyororo wa kuwasaidia magaidi wa MKURA, Mkuranga,Kibiti, Rufiji, pesa zilikuwa zinatumwa kwake yeye anazisambaza.

Makala yake zikitumika kama cover ya kupata hizo pesa. Akiweka pressure wale magaidi wasizibitiwe, akizungumzia haki zao za kibinadamu bila kujali haki za binadamu waliouwawa na magaidi
Unaweza kuthibitisha hizi tuhuma unazomtupia Kabendera ?
 
Back
Top Bottom