Kwanini Rais Mstaafu Kikwete akiongea Kiingereza hatetemeki?

Kwanini Rais Mstaafu Kikwete akiongea Kiingereza hatetemeki?

Bora mzungu alivyokuja kutuokoa. Historia ya utawala wa Africa kabla ya ujio wa wakoloni haisomwi vizuri.

hao wachina na mataifa ya wazungu hupambana kukijua kiingereza ili wawe 'compatible' dunia nzima.

Ukiwaona wanajenga Africa usifikiri waliona tangazo la tenda lilioandikwa kwa kichina.

Usione Chancellor wa ujerumani anaongea Kijerumani,ukimuita Chemba anatema yai hatari.

Huyu karibu mkuu wa UN Guiterez ni mreno,ila anatema yai.
Hawa makocha walioko Africa ambao wanatokea Ufaransa , Belgium,Serbia na nchi zisizo na English wanaongea English ndio maana wanafanya kazi karibia kila nchi Africa. Including Gomez na Sven sio waingereza.

Unafikiri Makocha wa Bongo hawana uwezo wa kufundisha nje ya nchi? Yai baba.
 
Akili ya mwafrika bana 😂😂😂...sometimes huwa sishangai kwanini tupo hapa, mawazo tu ya watu yana reflect our highest level of stupidity. Anyways ngoja maisha yaendelee. Mzungu keshatumaliza kila kitu, hatuna jipya as a race of people.
Halafu huyu(mleta mada) ndio jiniaz Kwa taarifa yako.
 
Akili ya mwafrika bana 😂😂😂...sometimes huwa sishangai kwanini tupo hapa, mawazo tu ya watu yana reflect our highest level of stupidity. Anyways ngoja maisha yaendelee. Mzungu keshatumaliza kila kitu, hatuna jipya as a race of people.
Na wewe mwenyewe kishakumaliza si unaona umeishaingiza kiingereza kwenye bandiko lako hivyo ujue wote tuko kwenye mstari mmoja.
 
watanzania ni watu wa ajabu sanaa kwa kweli, hamuwezi mkamuacha marehemu akapumzike kwa amani ,in an african tradition its taboo to speak ill of the dead.au nyie ile misemo ya "ukitaka kusifiwa uwe marehemu"mnataka kuandika upya ?acheni ujinga na muache marehemu apumzike kwa amani.
Ni wapi tu Mwendazake ameongelewa?
 
Popote pale ulipo Rais wangu Mstaafu wa Awamu ya Nne Mzee Jakaya Mrisho Kikwete Shikamoo kwa Kuzungumza Kwako vizuri na kiufasaha kabisa Lugha ya Kiingereza jana ulipokuwa umealikwa.

Na ulichonifurahisha zaidi GENTAMYCINE ulikuwa unakiongea huku ukiwa hutetemeki, unajiamini na unatiririka nacho vizuri kama Mchezaji wako wa Yanga SC Tuisila Kisinda halafu na hata Kiingereza chenyewe nacho kinakupenda na kinakupendeza vile vile.

Kwa jinsi ninavyojijua GENTAMYCINE ndiyo ingekuwa Mimi jana pale ningechapia sana hiyo Lugha na kwa Kuzuga ningeishia tu Kuongea Kizanaki au Kimakuwa changu, Kukasirika ( Kufoka ) hovyo huku Komwe langu Kubwa likitokwa na Jasho na Kulazimisha nitumie Lugha ya Kiswahili hata kama 99% ya Wanaonisikiliza hawakijui na watatafsiriwa na Wenyeji au Wakalimani wao.
Yes ofu coz he uzid to toku zat language longi taim with ze wait pipo ini ze uropu endi ini ze America while he's steiyingi zea.
 
watanzania ni watu wa ajabu sanaa kwa kweli, hamuwezi mkamuacha marehemu akapumzike kwa amani ,in an african tradition its taboo to speak ill of the dead.au nyie ile misemo ya "ukitaka kusifiwa uwe marehemu"mnataka kuandika upya ?acheni ujinga na muache marehemu apumzike kwa amani.
Kwani kuna aliyeenda kumuamsha?
 
huku Komwe langu Kubwa likitokwa na Jasho
drakelaugh.png
 
Marehemu aliwekeza kwenye kukariri formula badala ya kuelewa ndio maana hata tuvitu tudogo tudogo kama front-page & entrepreneur vilikuwa vinamshinda.

Sijua atajieleza kwa lugha gani mbele ya Jehova siku ya kiama kwa msululu wa madhambi aliyokuafa nayo huyu mtesi wetu.
 
Niliwah kusikia historia ya elimu ya JMK, aliwahi kusoma shule za seminar za enzi zile walimu ma bluda nanmafaza toka mamtoni na jamaa alitumia jina la kikristu kuingia ktk iyo shule. Nafikiri icho pia kilimjenga vizuri.

Lakini pia JMK ana experience ya kuhudumu ktk wizara ya mambo nje kwa muda mrefu ..nafikiri ilimu expose sanaa.
 
Huyu alizaliwa na kiswahili akapambana kujua kimombo pekee, mwendazake alizaliwa na kisukuma akaanza kupambana kujua kwanza kiswahili baadae kimombo, JK anajua lugha 2 tu na mwendazake alimudu moja 1 hizi 2 ilikuwa ni majanga.
Kwa akili kama zako tunaitaji kutawaliwa na wazungu kwa miaka 100.
 
Back
Top Bottom