Kwanini Rais Mstaafu Kikwete akiongea Kiingereza hatetemeki?

 
Halafu huyu(mleta mada) ndio jiniaz Kwa taarifa yako.
 
Na wewe mwenyewe kishakumaliza si unaona umeishaingiza kiingereza kwenye bandiko lako hivyo ujue wote tuko kwenye mstari mmoja.
 
Ni wapi tu Mwendazake ameongelewa?
 
Yes ofu coz he uzid to toku zat language longi taim with ze wait pipo ini ze uropu endi ini ze America while he's steiyingi zea.
 
Kwani kuna aliyeenda kumuamsha?
 
Marehemu aliwekeza kwenye kukariri formula badala ya kuelewa ndio maana hata tuvitu tudogo tudogo kama front-page & entrepreneur vilikuwa vinamshinda.

Sijua atajieleza kwa lugha gani mbele ya Jehova siku ya kiama kwa msululu wa madhambi aliyokuafa nayo huyu mtesi wetu.
 
Niliwah kusikia historia ya elimu ya JMK, aliwahi kusoma shule za seminar za enzi zile walimu ma bluda nanmafaza toka mamtoni na jamaa alitumia jina la kikristu kuingia ktk iyo shule. Nafikiri icho pia kilimjenga vizuri.

Lakini pia JMK ana experience ya kuhudumu ktk wizara ya mambo nje kwa muda mrefu ..nafikiri ilimu expose sanaa.
 
Huyu alizaliwa na kiswahili akapambana kujua kimombo pekee, mwendazake alizaliwa na kisukuma akaanza kupambana kujua kwanza kiswahili baadae kimombo, JK anajua lugha 2 tu na mwendazake alimudu moja 1 hizi 2 ilikuwa ni majanga.
Kwa akili kama zako tunaitaji kutawaliwa na wazungu kwa miaka 100.
 
Hupata kigugumizi buana, ila kama hujui lazima utasema anajua ila hata yeye akiongea kithungu kuna kigugumizi humpata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…