Kwanini Rais Mstaafu Kikwete akiongea Kiingereza hatetemeki?

 
Lugha ya kiingeleza ina maajabu yake, si kama lugha zingine duniani ambazo ukijifunza kwa mwaka mmoja tu unaongea vizuri, mi nafikiri kiingeleza kina connection na ulimi wa mtu - haiwezekani mtu ukafikia hadi PHD masomo yako yote unatumia lugha hiyo hiyo lakini still inakushinda, kwenye "is" unaweka "was", kwenye "thought" unaweza "think", kasheshe kwenye kuweka sentesi ya wakati timilifu uliopita (past participle ) hapo sasa inakuwa vurugu tupu.

Kiingeleza ni lugha ya wito.
 
Kiingereza
 
Hujui kiingereza. Kikwete hafahamu kiingereza. Kiingereza chake ni kibovu cha mtoto wa darasa la 3. Hatetemeki sababu ameshazoea kukosea hivyo anaendelea humo humo. Na si mlaumu si lugha yake. So siyo case.
 
sawa mkuu, tatizo la "r" na "l" ni la kitaifa, hasa sisi wa kanda ya ziwa na ndiko kwenye tatizo sugu la kuongea lugha hii ya kiingereza.
Mwl au Chenge wanatoka wapi na mbona wanaongea kiingereza vizuri sn? sema ni kujilemaza tu
 
Jiwe kaacha mimba nyingi sana hapa nchini!

Hebu cheki watu wanavyoteaeka nazo!

Kuweni wawazi tu jamani tutazilea
 
Ila watu kweli tumekosa ya kufanya mwishowe mtasema mbona akivaa kanzu hatetemeki ,mumekaa kuchunguza ujinga mtu akisema atatemekaje? anamuogopa nani hadi atetemeke au ndio kujazana sifa za kipumbavu.
 
Mchumi huyo lazima ajue lugha ya biashara,sio mtaalam wa korosho azina lugha ,yes
 
Huyu alizaliwa na kiswahili akapambana kujua kimombo pekee, mwendazake alizaliwa na kisukuma akaanza kupambana kujua kwanza kiswahili baadae kimombo, JK anajua lugha 2 tu na mwendazake alimudu moja 1 hizi 2 ilikuwa ni majanga.
kuna msemo unasema, usimsifie anayekimbia ana mbio, muangalie pia anayemkimbiza. kwa level yako wewe ya English lazima umuone JK anajua sana.
 
Nenda akakuoe kama umeona hii nayo ni jambo la msingi kwako,ebo?
 
Umeua kabisa mkuu,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu inaonyesha umekasirika sana. Tufungue akili basi, mbona unaishia njiani! hutaki nasi tuelimike?
 

Hata hao Wazungu unaowarejea wanakubali kuwa sisi Waafrika tuna vichwa Bora zaidi Yao. Dadeki! Wewe unafikiri kusoma KM 10 kutoka nyumbani na Darasani wapo Wanafunzi 70, mvua ikinyesha kipindi kinaghairishwa na baada ya mwaka mmoja tu wanafunzi wote wanajua kusoma. Hii nayo sio akili ndogo 🚢🚢🚢
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…