Kwanini Rais Mstaafu Kikwete akiongea Kiingereza hatetemeki?

Acheni uongo kile kiingereza gani cha English course, kiingereza anachoongea kwa lafudhi ya kiswahili?
 
Matumizi ya ... its
 
Marehemu ambaye there is nothing that we can do. Hivi shida ni nini? Mbona kama tuna DNA za kichawi vile???
 
Kwahiyo alitakiwa atetemeke!?
 

Hicho nacho ni kipimo cha nini? Wapo vichaa kadhaa ninaowafahamu wanaotiririsha Kimombo with confidence na bila hiccups!
 
Kiingereza kina hofu yake kwa wale waliojifunza ukubwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…