Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Tangu vita vimeanza hii ni week ya tatu putin amekuwa akisika mara kadhaa akiliomba jeshi la Ukraine na wanajeshi wa Ukraine kusalender vita hiii lakini bado madogo wanakomaa
Je, ni kwanini Putin anawataka wanajeshi wa Ukraine kusalender?
Je, ni kwanini Putin anawataka wanajeshi wa Ukraine kusalender?