Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
Sio kweli. Hakuna vita vya muda mfupi mzee ukraine sio BurundiVita ni garama na yeye hesabu zake zilikuwa ni ndani ya mda mfupi awe ameisha maliza Hii vita.
ila Ukraine imekaza sasa anabaki kutishia mara nyukiria mala Wajisalimishe yani anatapa tapa kama panya jike
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app