Mbunge Wa Kitaa
Senior Member
- May 25, 2014
- 122
- 118
Mkuu nakubaliana na wewe 100% na hayati Magufuli alishawahi sema. Issue yangu ni kwamba je Tuwazuie wanchi wasibebe Mabango au tuwaache ili ikitokea mkuu wa Nchi kapita hapo apate ujumbe wake na ajue nini kero au matatizo ya eneo husika au pia apokee mabango yanayomsifu na kumtia Moyo?Mkuu tunazungumzia li nchi hili la tanzania sio office hii mkuu hii nchi kubwa mno,,
rais hawez kufika kila sehemu,
Lazma tujenge utamaduni wa kila mtendaji kuwajibika eneo alipo.
Wewe t apo mkuu unaweza ukawa upo dar unaish magomeni gongolamboto hujakanyaga mwaka mzima.
lazma tujenge utamaduni wa uwajibikaji kila mtu katika eneo lake atimize majukumu yake.
Hili suala hata hayati magufuli amelisemea sana wat wawajibike katka maeneo yao,
Sio kila jambo mpaka rais ndo aje alishughulikie.
Kama wewe ni mtendaji uko kakonko kigoma jiulize niko huku kwa ajili gani,lazma ujihis natakiwa kutatua kero za watu.
Tukienda ivo kwamba kila kitu ad rais hatutafika popote milele.
Mimi naona tuwaache watu wawe huru ila Watendji wapige kazi aisee. Mkuu ni rais kusema ila ukweli mambo bado sana hapa kwetu.