Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fatuma ashakataza kuitaja taja Zanzibar. Anataka kuua watu kule twitani kisa Zanzibar.Nimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Waarabu wanapenda maji.... Pia hilo ni jengo lao... Sultan sayed said aliishi hapoNimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Zote zingekuwa picha tu, hata angepewa mlima Meru ni picha..Nimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Oman alitawala mlima Kilimanjaro au alikuwa mtawala wa Zanzibar?Nimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Ujue mtu akishakuwa mjinga na mwenye chuki huishia kuwa mpumbavu 😆😬Mlima.Kilimanjaro tena?
Uyo mfalme kasomea Unguja,kakulia Unguja nahisi ndo mna kampelekea iyo zawadiNimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Mfalme wa Morocco alishindwa kutimiza ombi la uwanja wa michezo Dodoma, Mama SSH achombeze pia hapo Oman huenda Waarabu wakatenda muujiza zamu hii.Nimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Mpare atafia mlimani huwezi kumwondoa...ataloga watu bure[emoji16][emoji16]Wachagga na wapare ni kujiandaa tu kama ndugu zetu wamasai. Tunauzwa in territories [emoji1787][emoji1787]