Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila jambo mtaliwekea swali, mjifunze kuwa waungwanaNimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Fungua macho uelimike. Beit el Ajaib imejengwa na waarabu wa Oman, ni mali yao. Mlima kilimanjaro umejengwa na Mola!Nimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Idiot! elimika kwanza! beit al ajaib ilijengwa na waarabu wa Oman. lakini haikuwa ikulu ya mfalme enzi zile. plus kama unaijua zanzibar kweli ungelijua kuwa beit el ajaib haipo kwa sasa, jumba limeanuka kwa kutoweza kutunzwa na serikali zenu za zanzibar na danganyika.Picha limeanza..nisha lewa..picha limeanza nisha changanyikiwa.
Itakua maandalizi ya sultani kurejea zenji.
Wamemtangulizia picha ya ikulu atakayofikia.
#MaendeleoHayanaChama
Sio zote ni picha, beit el ajaib imejengwa na wazee wa huyo mfalme kwa hiyo picha hiyo ina thamani zaidi kwake kuliko mlima wowote ule tanzaniaZote zingekuwa picha tu, hata angepewa mlima Meru ni picha..
Lengo lake ni kuijenga Zanzibar na siyo baraNimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Na bado kasema waje kuwekeza (au kuekeza kwa lafudhi yake) atawapa ‘favourable incentives’ Inabidi tujiulize ana maanisha nini hapa tax holidays za miaka mingi, nyongeza ya capital allowance, low utilities bills kama matakwa ya mradi wa Bagamoyo na mengine ya ovyo kama yaliyomo kwenye MoU ya bandari ya Bagamoyo.
Ana maamisha nini hasa anaposema anawahakikishia yeye binafsi kuwapa ‘favourable incentive’ wakati nchi ina sheria za kuvutia uwekezaji.
Huyu mama ni tatizo she doesn’t know what mess she is inviting, tayari tumeshaingizwa chaka kwenye LNG; sasa anatengeneza matatizo mengine.
Unavutia wawekezaji kwa sababu ya kuleta FDI yeye anawaambia mabank yetu yawape hela wakati wawekezaji wa ndani awana pakupata mikopo iliyo na riba ndogo.
Sisi tunataka waje wafungue mabank kwa hela zao, watoe riba nafuu kuongeza ushindani sokoni, watanzania wapate mitaji; not vice versa waje kugombania mikopo ya biashara na watanzania.
Kwa iyo munatumia vivutio vya Zanzibar kwa maendeleo ya Tanganyika?Fungua macho uelimike. Beit el Ajaib imejengwa na waarabu wa Oman, ni mali yao. Mlima kilimanjaro umejengwa na Mola!
Zawadi ni zawadi, mtoaji ndio huamua sio mpokeajiNimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
View attachment 2259275
Mama anautumia kwa maendeleo ya Tanganyika, alitakiwa kupeleka mkuki na ngozi ya chui jikeHuo mjengo ulijengwa na waOmani🤣
Cha ajabu lakini mama bado anatumia jengo liloanguka kwa maendeleo yenu Tanganyika., hakupeleka mkuki wala kipande ngozi ya chui jikeIdiot! elimika kwanza! beit al ajaib ilijengwa na waarabu wa Oman. lakini haikuwa ikulu ya mfalme enzi zile. plus kama unaijua zanzibar kweli ungelijua kuwa beit el ajaib haipo kwa sasa, jumba limeanuka kwa kutoweza kutunzwa na serikali zenu za zanzibar na danganyika.