Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Walituambia Magufuli alikuwa anajipangia.Kwan ulinzi raisi huwa anajipangia naomba kuuliza?
Naam!Mbona magu alikua analindwa hvyo hvyo
Si sababu mlishaziweka hadharani kuwa dhalimu na dikteta ni lazima ajilinde, huyu sasa kipenzi cha wote, sababu ni nini?Mbona magu alikua analindwa hvyo hvyo
Hua tunajisahaulisha Sana, wengine wanajiita wanaharakati wakacompare Hadi picha kuonyesha utofauti!Naam!
Na ilikuwa nongwa balaa.
Kwa magufuli mbona mlisema tofauti?Nilikua na kuelewa sana ila sasa ni kama huamini mtangulizi wake amefariki, kila raisi ana protocols zake alindwe asilindwe sioni tatizo
Kwan ulinzi raisi huwa anajipangia naomba kuuliza?
Anaupiga mwingi, hao wanaomlinda ni msoga gang, wanamlinda dhidi ya sukuma gang.
Mauaji na kupotezwa kwa watu yameshamiri sana siku za hivi karibuni, labda na yeye anahofia!
Ingawa nasikia wafuasi wake wanasema wana amani ya moyo eti hakuna tena vitisho wala watu kupotea, nadhani watu ktk hii nchi ni kina Ben tu