Kwanini Rais Samia analindwa na mabunduki mengi hivyo?

Kwanini Rais Samia analindwa na mabunduki mengi hivyo?

Anaupiga mwingi, hao wanaomlinda ni msoga gang, wanamlinda dhidi ya sukuma gang.

Mauaji na kupotezwa kwa watu yameshamiri sana siku za hivi karibuni, labda na yeye anahofia!

Ingawa nasikia wafuasi wake wanasema wana amani ya moyo eti hakuna tena vitisho wala watu kupotea, nadhani watu ktk hii nchi ni kina Ben tu
Tanzania kisiwa cha amani.... Rais alitakiwa kutuonyesha kwa vitendo.
 
Vipo, factions within CCM zipo na hizijaanza awamu hii bali zilikuwepo since way back.
Huwa zinajiunda kulingana na rais aliyepo madarakani, hata ukicheki cabinet ya Samia amelenga wale anaoamini ni 'watu wake'.
Magu naye alikuwa na click yake huku timu 'Msoga' na akina Kinana na Makamba wakiwa a different faction within CCM, hayo mambo huwa yapo ni kila kundi kupigania interests zake.
Hayo makundi yapo, lakini hakuna Sukuma gang.
 
Hayo makundi yapo, lakini hakuna Sukuma gang.
Kwa kuwa unajua uwepo wa makundi basi moja ya hayo makundi ni Sukuma gang, kukataa kwako uwepo wa hilo kundi ni either haulifahamu(which I doubt) au wewe ni mmoja wapo hivyo hautaki ukweli ujulikane au labda tu wewe ni shabiki wa hilo kundi hivyo ungependa lisiwe exposed wakati likiendesha njama zake 'chafu' dhidi ya bibie huyu aliyepo kwenye usukani.
 
Mimi kwangu swali siyo walinzi wengi bali wangapi hapo ni Watanzania na wangapi mercenaries ?
It’s a coup !
 
Waliokua wanamsema Jiwe na ule ulinzi waje wajibu
 
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?

Anaogopa nini? Anamwogopa nani?


Vipi tena huko uliko wewe baba yako mpendwa huwa analindwa na nini, na mapanga?
 
Mwendazake na helkopta juu pia zilikuwa zinapita kila aelekeako., mama ata hana presha mlinzi wake mwanamke mwenzake na nadhan labda atakuwa na kabastola tu

Bodyguard lazima awe mwanamke kama anaemlinda ni wa kike. Huyu huwa ndo first responder kwa lolote litakalomkuta muheshimiwa.

Pia Bodyguard sio tu ana mafunzo ya Jeshi (kupambana) bali pia ana mafunzo ya Biology na utabibu.

Hivo kama muheshimiwa ni wakike, lazima alindwe na muheshimiwa mwanamke.
 
Bodyguard lazima awe mwanamke kama anaemlinda ni wa kike. Huyu huwa ndo first responder kwa lolote litakalomkuta muheshimiwa.

Pia Bodyguard sio tu ana mafunzo ya Jeshi (kupambana) bali pia ana mafunzo ya Biology na utabibu.

Hivo kama muheshimiwa ni wakike, lazima alindwe na muheshimiwa mwanamke.
Nani hajui hilo?
 
Kwa kuwa unajua uwepo wa makundi basi moja ya hayo makundi ni Sukuma gang, kukataa kwako uwepo wa hilo kundi ni either haulifahamu(which I doubt) au wewe ni mmoja wapo hivyo hautaki ukweli ujulikane au labda tu wewe ni shabiki wa hilo kundi hivyo ungependa lisiwe exposed wakati likiendesha njama zake 'chafu' dhidi ya bibie huyu aliyepo kwenye usukani.
Ok, hebu nielekeze basi, hiyo ni nini? Kikundi cha wasukuma walioko CCM au ni nini?
 
Ok, hebu nielekeze basi, hiyo ni nini? Kikundi cha wasukuma walioko CCM au ni nini?
Si kwamba wote ni Wasukuma, ila ni wale pro-Jiwe ambao majority na waanzilishi ni Wasukuma. Bashiru na Jobu si Wasukuma lakini ni miongoni mwa hiyo clique.
 
Si kwamba wote ni Wasukuma, ila ni wale pro-Jiwe ambao majority na waanzilishi ni Wasukuma. Bashiru na Jobu si Wasukuma lakini ni miongoni mwa hiyo clique.
Ok, kwa hiyo hao pro Jiwe wameunda kakikundi wanakutana na kupanga ratiba na mikakati au wana opareti vipi hao Sukuma gang, Ni kama secret society au wanaendesha mambo yao kwa uwazi?
 
Back
Top Bottom