My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Tatizo kako nini wewe? Umeuliza swali halafu unajijibu mwenyewe tena,nyani nuksi wewe[emoji205][emoji205][emoji205]Walituambia Magufuli alikuwa anajipangia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kako nini wewe? Umeuliza swali halafu unajijibu mwenyewe tena,nyani nuksi wewe[emoji205][emoji205][emoji205]Walituambia Magufuli alikuwa anajipangia.
Joe Biden halindwi na mabunduki. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Sukuma gang wote na team 'Jobu' hawampendi, na ukizingatia hapo alikuwa karibu na '18' za Sukuma gang hivyo ulinzi wa sampuli hiyo uliswihi.Apoteletee wapi?
Si anapendwa na watu wote?
Au ana hofu?
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
Sukuma gang ni dhana ya kufikirika tu!Anaupiga mwingi, hao wanaomlinda ni msoga gang, wanamlinda dhidi ya sukuma gang.
Mauaji na kupotezwa kwa watu yameshamiri sana siku za hivi karibuni, labda na yeye anahofia!
Ingawa nasikia wafuasi wake wanasema wana amani ya moyo eti hakuna tena vitisho wala watu kupotea, nadhani watu ktk hii nchi ni kina Ben tu
Sukuma gang na Jobu gang ni mambo ya kufikirika tu, kiuhalisia hakuna vitu kama hivyo.Sukuma gang wote na team 'Jobu' hawampendi, na ukizingatia hapo alikuwa karibu na '18' za Sukuma gang hivyo ulinzi wa sampuli hiyo uliswihi.
Vipo, factions within CCM zipo na hizijaanza awamu hii bali zilikuwepo since way back.Sukuma gang na Jobu gang ni mambo ya kufikirika tu, kiuhalisia hakuna vitu kama hivyo.
Si mlisema mama hana maadui?Mbona magu alikua analindwa hvyo hvyo
Kwamba kikwete alikua halindwi?Raisi alikuwa Kikwete bwana!
Mtu akajilinda wee na mabunduki mafua kidogo tu yakasepa nae.
Ni sawa tu maana ndo RaisiKwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
Bwana eee anamwogopa NdugaiShe is a president,umeshawahi kuona Nyuki wanavyokuwa makini na malkia wao..
JF imeshuka sana viwango siku hizi.Ongea na Zanzibar-ASP pamoja na FORTALEZA mkubaliane ni upi ulinzi halisi wa mama. Je ni huo wenye bunduki nyingi na kombania moja ya askari, au nii huu hapa usiokuwa na mbwembwe. Always time tells the truth!
Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli. Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].www.jamiiforums.com
View attachment 2110745
Alafu akafa kiboya tu huko kwenye vizahati ugoroMbona magu alikua analindwa hvyo hvyo
Ni Wasaidizi na Sio WalinziWalinzi ni wengi zaidi ya wale wa Magufuli.
Mzena ni Zahanati ni ugoro? Siku uje upaone TuAlafu akafa kiboya tu huko kwenye vizahati ugoro