Kwanini Rais Samia analindwa na mabunduki mengi hivyo?

Kwanini Rais Samia analindwa na mabunduki mengi hivyo?

Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?

Anaogopa nini? Anamwogopa nani?


Na usije ukaacha kumpigia kura hapo ndipo utajua kazi ya hizo bunduki.
 
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?

Anaogopa nini? Anamwogopa nani?

Anamuiga mtangulizi wake alikua hivyohivyo,mama anapita mulemule kwa meko
 
Si tuliambiwa mwendazake alikuwa ana jipangia ulinzi?
Kwahiyo mkuu wale wanajeshi wa Rwanda ni serikali ndiyo ilimuwekea Magufuli? Au mama naye analindwa na hao hao?
 
Get a life.

Move on. Magufuli is no more.
You are the one who is still hung up on him!

You can’t keep his name out of your filthy mouth!

You get wet dreams about him at night too??
 
You are the one who is still hung up on him!

You can’t keep his name out of your filthy mouth!

You get wet dreams about him at night too??
Anniversary yako lini?

Naona ukiachwa ndani kazi yako inabaki kupiga porojo mitandaoni.

USA baby USA baby na vibendera vya hapa na pale.

1644062961106.png
 
Kwa hiyo unataka alindwe kwa panga na visu? Huyu ni Rais siyo Mtendaji wa Serikali ya Mtaa wa Kazuramimba.

Respect our president hata kama huafiki itikadi yake you monkey
Blaza mbona umepaniki😁😁😁
 
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?

Anaogopa nini? Anamwogopa nani?


unauliza kwanini? hujui kama ni rais na yupo mkoa wa Mara?
 
Back
Top Bottom