Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Magufuli hakuwa msukuma. Na ameshakufa.We mbona hujazoea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli hakuwa msukuma. Na ameshakufa.We mbona hujazoea?
AjabuKwan ulinzi raisi huwa anajipangia naomba kuuliza?
Now wameanza kugeuza sura.Walituambia Magufuli alikuwa anajipangia.
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
Anamuiga mtangulizi wake alikua hivyohivyo,mama anapita mulemule kwa mekoKwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
And…?Magufuli hakuwa msukuma. Na ameshakufa.
Kwahiyo mkuu wale wanajeshi wa Rwanda ni serikali ndiyo ilimuwekea Magufuli? Au mama naye analindwa na hao hao?Si tuliambiwa mwendazake alikuwa ana jipangia ulinzi?
You are the one who is still hung up on him!Get a life.
Move on. Magufuli is no more.
Anniversary yako lini?You are the one who is still hung up on him!
You can’t keep his name out of your filthy mouth!
You get wet dreams about him at night too??
Wow!Anniversary yako lini?
Naona ukiachwa ndani kazi yako inabaki kupiga porojo mitandaoni.
USA baby USA baby na vibendera vya hapa na pale.
View attachment 2108948
Blaza mbona umepaniki😁😁😁Kwa hiyo unataka alindwe kwa panga na visu? Huyu ni Rais siyo Mtendaji wa Serikali ya Mtaa wa Kazuramimba.
Respect our president hata kama huafiki itikadi yake you monkey
Wewe una brain how much?Ndio maana tunawaita nyie ni ziro brain
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
Huwa zipo mbili. Wanajeshi, askari wa kawaida hadi mgambo. Achilia mbali hao wenye kuvaa kiraia na usalama. Ulinzi wa Samia ule wa Maghufuli cha mtoto.wewe uliziona kwa mama?
Hakuna gharama, Katiba ya Tz iko simple tu, ni zoezi la kumuapisha makamu kuwa Raisi, na maisha yanaendeleaTrue..
Gharama za kumpoteza Rais kizembe ni ghali sana kuliko hizi za kumlinda in my opinion too.
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
We umejuaje kwamba ana ulinzi mkali ilhali huwaoni walinzi!?Kagame ni miongoni mwa Marais wenye ulinzi mkali lakini huwezi kuona kazingirwa hovyo kama Hangaya