Kwanini Rais Samia analindwa na mabunduki mengi hivyo?

Kwanini Rais Samia analindwa na mabunduki mengi hivyo?

Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?

Anaogopa nini? Anamwogopa nani?


Jibu ni moja tu na rahisi: Ni kwa sababu ya HOFU YA KIFO.....!!

Maana aikanyagae HAKI hatakuwa na Amani. Anaweza kuogopa hata kivuli chake mwenyewe maana imeandikwa hivi...;

Mithali 28: 1

"....Waovu (wasiotenda haki) hukimbia hata wasipofuatiwa na mtu (wamejawa na hofu na mashaka kwa sababu zisizokuwepo); Bali wenye HAKI ni majasiri kama simba...."


Samia aupate wapi ujasiri maana HAKI kwake ni msamiati mgumu...?
 
Ana mamlaka makubwa sana, kila taasisi ipo chini yake. Hivyo majukumu yake yanakwenda sambamba na hao wanajeshi wanaobeba bunduki muda wote.
 
nadhan ilikuwa safari maalum sio mara zote
Mmh acha mambo yako huo ulinzi upo hivyo siku zote. Kuna vitu ni vya kutetea na Kuna vingine vipo wazi.
Binafsi Sina shaka na ulinzi wowote.
 
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?

Anaogopa nini? Anamwogopa nani?

Labda wasiojulikana wamegeuka mizimu na kama bunduki za makomandoo zinaweza kuwatisha...
 
Anakoenda Kuna maadui zake wengi,lazima alindwe na nimeona hata helicopter......wanasisiemu wenzie wanaitaka hiyo nafasi
 
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?

Anaogopa nini? Anamwogopa nani?

Huu ni ulinzi wa kurithi, amerithiki kwa mwendazake. Wameupunguza kidogo japo.
 
Preventative protection. Presence ya ulinzi kupita kiasi inapunguza uwezekano wa tukio baya kutokea kutokana na hofu kwa watu. Its very effective.

Same thing unavyoona ukienda benki ama wabeba hela wana zile bunduki kubwa shotgun na AK 47. Ni ngumu kufikiria kuiba kwani silaha zinatisha. One of the reasons toka kuanza kwa ulinzi wa namna hii wizi katika mabenki wa silaha umepotea kabisa ukilinganisha na early 2,000s
 
SSH alivyoingia madarakani alikuwa humble,tatizo lilianza alipoanza kuzitambua nguvu alizonazo kama Rais!

"if you want to test the man's character,give him power"
Hamna!

Ni watu walikuwa wepesi mno kuhukumu.

Mtu ndo kwanza kawa Rais, hujamwona katika settings tofauti tofauti, halafu unaanza kulinganisha na mtu aliyekuwa kwenye hiyo nafasi kwa zaidi ya miaka 5.

Sisi wenye akili tulijua tu kwamba aina ya ulinzi huendana na settings au mazingira aliyopo mlindwa.

Na kwa hawa VIPs mara nyingi sana wao huwa hawahusiki na kujipangia ni aina gani ya ulinzi wawe nao.

Tulilisema hilo. Mkatuona hatunazo.

Hapa hii mada nimeanzisha kwa makusudi tu kuzisanifu akili ndogo…..
 
Kwanini wazanzibari ni wengi mno kwenye ulinzi wake
 
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?

Anaogopa nini? Anamwogopa nani?


Hangaya mshamba tu kama ilivyokuwa Jiwe; katikati ya mabunduki yote hayo majinga ndani ya ccm yanaamini hizo ni sherehe za chama na kwamba chama chao bado kipo hai
 
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?

Anaogopa nini? Anamwogopa nani?


Wewe ulitaka alindwe na mabunduki machache Ili umfanyaje?

Tena hayatoshi msituletee nuksi kwa mama yetu.
 
Back
Top Bottom