Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Nani alisema wakati mwenyewe alijisemea kuwa yeye na Magufuli ni wale wale!Si mlisema huyu ni tofauti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alisema wakati mwenyewe alijisemea kuwa yeye na Magufuli ni wale wale!Si mlisema huyu ni tofauti?
Tuseme hata hiyo video hujaangalia?Mwendazake na helkopta juu pia zilikuwa zinapita kila aelekeako., mama ata hana presha mlinzi wake mwanamke mwenzake na nadhan labda atakuwa na kabastola tu
Mnakula matapishi yenuTanzania tuko na surplus ya mibunduki & mirisasi kwahiyo tumeamua mungine itumike kumlinda mama wakati akila kwa urefu wa kamba yake
Mbona kwa Magu mlikuwa na maoni tofauti?True..
Gharama za kumpoteza Rais kizembe ni ghali sana kuliko hizi za kumlinda in my opinion too.
Mimi na nani?Mbona kwa Magu mlikuwa na maoni tofauti?
Mbona kwa Magu ulisema kwa vile ni dikteta?Kwa hiyo unataka alindwe kwa panga na visu? Huyu ni Rais siyo Mtendaji wa Serikali ya Mtaa wa Kazuramimba.
Respect our president hata kama huafiki itikadi yake you monkey
Umeangalia hiyo video?Mwendazake na helkopta juu pia zilikuwa zinapita kila aelekeako., mama ata hana presha mlinzi wake mwanamke mwenzake na nadhan labda atakuwa na kabastola tu
Ukiwa na chadema akili unamkabishi lisuUfinyu wa fikra uliwafanya wameze porojo za akina kigogo kuwa Magufuli ni dikiteta na hafai leo yaliyotokea zama za magufuli wanayapaka rangi kisa kigogo anaunga mkono mabadiliko yaani ni heli ukose vyote sio akili damn!
Haibadilishi msimamo kuwa alikuwa DIKTETAMbona kwa Magu ulisema kwa vile ni dikteta?
Bavixha ni ziro brain mkuuKipindi cha Magufuli Kuna Kisanduku cha First Aid tuliambiwa. Akikishika Huyo Jamaa kwa Sababu Mzee alikuwa anaumwa. Sasa Nakiona Pia kwa Mama Hapo.
Ndio maana tunawaita nyie ni ziro brainHaibadilishi msimamo kuwa alikuwa DIKTETA
Hata kama ndivyo hivyo, basi tuligeuze swali liwe;Kwan ulinzi raisi huwa anajipangia naomba kuuliza?
Kipindi cha Magufuli Kuna Kisanduku cha First Aid tuliambiwa. Akikishika Huyo Jamaa kwa Sababu Mzee alikuwa anaumwa. Sasa Nakiona Pia kwa Mama Hapo.
Apoteletee wapi?Gharama ya kumpoteza rais kizembe Ni kubwa kuliko huo ulinzi alionao mama yetu.by the way ni ulinzi wa kawaida Sana huu
Wale walinzi wa JPM walielekeaga wapi? Nimeuliza tuGharama ya kumpoteza rais kizembe Ni kubwa kuliko huo ulinzi alionao mama yetu.by the way ni ulinzi wa kawaida Sana huu
TulipigwaHahahaha pia walisema ni sanduku la kubeba hela za kugawa kwa sababu ya ushamba wake....Hakika tume tells a lot about people [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?