Kwanini Rais Samia anatumia ndege za ATCL kwa safari zake hata fupi badala ya ndege ya Rais?

Kwanini Rais Samia anatumia ndege za ATCL kwa safari zake hata fupi badala ya ndege ya Rais?

Ndege za Serikali, ATCL haina ndege hata moja, watu mbona hamuelewi
Wewe ndio huelewi. Serikali imewapa atcl kwa mkopo kwa hivyo ziko chini ya atcl. Haistahili serikali kutumia kama mali yake ila kwa kukodi. Hata hivyo kinachoongelewa hapa ni matumizi mabaya ya rais ya ndege kubwa kwa safari fupi.
 
Wakuu napenda kujua kwa nini Mheshimiwa Rais Mother wetu anatumia ndege za ATC badala ya ndege ya Rais Gulf stream iliyonunuliwa awamu ya Tatu?
 

Dakika 1.5 mpaka ya 7.45 kuna nyama ingawa mchuzi upo juu. Ukiwa mbunifu huwezi kupata shida kuendesha mambo tumpe muda.
 
Hivi Malawi wana uwanja wa ndege kubwa kama airbus yetu kutua? Mi nadhani unatua kwanza Botswana au namibia halafu unavuka na gari Malawi. Mimi nilijua ni hizi cassena ndege za umwagiliaji wa pembejeo ndo zinaweza kutua Malawi.

barafu

Acha dharau Mkuu si vizuri.
 
ATCL hawana ndege...

Hizo ndege zote ni mali ya serikali, ATCL kafanya kuazimwa tu aziendeshe kibiashara...
 

Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.

Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?

Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?

Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.

Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.
Ana Eva ujumbe wa watu 100, ni mzanzibari Hana uchungu wowote. That is the Presidential Jet. 15 years ya makodi na waste, kazi iendeleee
 
ATCL hawana ndege, hizo ndege ni mali za serikali kupitia TGFA, ATCL wanakodishwa tu. Tuelewe ndege ya Raisi iiyonunuliwa kipindi cha Basil Pesambili Mramba Gulfstream G550 nayo ni mali a TGFA uofauti wake na zingine mnazoita za ATCL ni muonekano wa rangi tu na daraja iliyopewa yaani namba 5H-ONE ndege ya kiongozi Mkuu wa nchi. Sioni tatizo Raisi kutumia ndege za TGFA wakati ATCL wamekosa business plan ya kuweza kuitumia ndege hiyo kwa ukamilifu ili waweze kumudi gharama za kuikodi kutoka TGFA.

Hizo nyingine pia zina namba
5H-TCA
5H-TCB
5H-TCC
5H-TCD
5H-TCE
5H-TCF
5H-TCG


Cha kuongelea hapa nadhani ni oparation cost ya kutumia ndege kubwa Airbuss 220-300 au Gulfstream G550

1630325753498.png
1630325792856.png


Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.

Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?

Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?

Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.

Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.
 

Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.

Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?

Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?

Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.

Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.
Anasafiri na team ya bonanza.... Ile ndogo haitoshi....
 
ATCL hawana ndege, hizo ndege ni mali za serikali kupitia TGFA, ATCL wanakodishwa tu. Tuelewe ndege ya Raisi iiyonunuliwa kipindi cha Basil Pesambili Mramba Gulfstream G550 nayo ni mali a TGFA uofauti wake na zingine mnazoita za ATCL ni muonekano wa rangi tu na daraja iliyopewa yaani namba 5H-ONE ndege ya kiongozi Mkuu wa nchi. Sioni tatizo Raisi kutumia ndege za TGFA wakati ATCL wamekosa business plan ya kuweza kuitumia ndege hiyo kwa ukamilifu ili waweze kumudi gharama za kuikodi kutoka TGFA.

Hizo nyingine pia zina namba
5H-TCA
5H-TCB
5H-TCC
5H-TCD
5H-TCE
5H-TCF
5H-TCG


Cha kuongelea hapa nadhani ni oparation cost ya kutumia ndege kubwa Airbuss 220-300 au Gulfstream G550

View attachment 1916575View attachment 1916577
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Back
Top Bottom