Kwanini Rais Samia kakwepa Hoja za Wafanyakazi na kamtuma Makamu wa Rais wakati Rais wa Zanzibar yeye amevunja ziara kwa ajili ya Mei Mosi?

Aliyemtuma atajibu hoja za Serikali, maana Serikali ni moja.
kwani si nyinyi ndiyo munamuwajibisha kwa kusema kuwa alikuwa makamu kwa hivyo alikuwa anashiriki kwenye decisions zote? Sasa yupo makamu wake kwani kosa liko wapi nayo ni serikali ile ile?
 
Natafakari Mei Mosi ya jana sijaielewa kabisa.

Hivi wale WADUDU ni waajiriwa wa wapi?
 
Ni kweli.
 
Wafanyakazi wamesema hawana shida kwa sasa
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…