Watu wengine bwana hujaulizwa wewe ila unatililika kama vile wewe ndiye uliyeulizwa swali. Hi suala la uchawa sasa limefikia mahali pabaya sana, mpaka kwenye mambo ya msingi. Mtoa hoja kauliza maswali ya msingi. Haya sasa unasema mwakilishi atayajibia hayo maswali sikukuu imeisha je yalijibiwa. Wakati mwingine kukaa kimya ni jibu.