Kwanini Rais Samia na Baraza la Maaskofu (TEC) walikuwa na kikao cha siri?

Kwanini Rais Samia na Baraza la Maaskofu (TEC) walikuwa na kikao cha siri?

Kilikuwa ni kikao cha viongozi wa dini kuombwa na dada yake Kayafa kuwa wasiunge mkono juhudi za katiba mpya.
AMe4I8.jpg
 
Kama ni siri atuwezi kujua zaidi ya kupiga ramli kama hizi"Labda kikao cha siri cha kumshawishi mama apokee ubatizo awe mkristo.
 
Wote tuliona hadi hotuba zote za Rais na maaskofu jana walipokutana pale Kurasini, TEC.

Wote nadhani mmeona baada ya kila kitu kumbe kukawa na kikao kingine cha Rais Samia na haohao maaskofu hapohapo ukumbini.

Kikao hiki wote tumeambiwa ni siri, tena wale wenye ruhusa ya kusikiliza siri za rais kama alivyosema Padri Kitima, katibu wa TEC.

Jamani nimejiuliza na nyinyi tujiize. Siri gani tena kati ya maaskofu katoliki na Rais?

Kama ni siri si wangekutana kisiri ikulu bila kufanya kama jana nusu hadharani nusu kisiri?

Hebu tusaidieni wataalamu humu wa kudadisi na kufukunyua ukweli.
Ulitaka na chakula cha mchana wale kwenye TV live?
 
Wote tuliona hadi hotuba zote za Rais na maaskofu jana walipokutana pale Kurasini, TEC.

Wote nadhani mmeona baada ya kila kitu kumbe kukawa na kikao kingine cha Rais Samia na haohao maaskofu hapohapo ukumbini.

Kikao hiki wote tumeambiwa ni siri, tena wale wenye ruhusa ya kusikiliza siri za rais kama alivyosema Padri Kitima, katibu wa TEC.

Jamani nimejiuliza na nyinyi tujiize. Siri gani tena kati ya maaskofu katoliki na Rais?

Kama ni siri si wangekutana kisiri ikulu bila kufanya kama jana nusu hadharani nusu kisiri?

Hebu tusaidieni wataalamu humu wa kudadisi na kufukunyua ukweli.
Kama ni cha siri ulikiona vipi?
 
Back
Top Bottom