Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira wa Afrika inaongea Pesa. Anachofanya Hersi ni kuhakikisha yeye mwenyewe anafikisha mkwanja sahihi kwa walengwa. Ile kumpa Sijui Meneja wa timu au Mratibu wa Mashindano ndani ya Klabu huwa ni Ujanja ujanja hawazipeleki na mwishoe timu inapigwa figisu na waaamuzi inafungwa.Najiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa yanga kila timu inaoenda na yeye yupo ?
Peke yako umejibu, wengine wametembeza kichamboKuwapa hamasa wapiganaji kwenye mapambano.
Kwa hyo yanga wanatoa rushwa si ndyo? Thibitisha kabla hatua Kali za kisheria sjachukuaMpira wa Afrika inaongea Pesa. Anachofanya Hersi ni kuhakikisha yeye mwenyewe anafikisha mkwanja sahihi kwa walengwa. Ile kumpa Sijui Meneja wa timu au Mratibu wa Mashindano ndani ya Klabu huwa ni Ujanja ujanja hawazipeleki na mwishoe timu inapigwa figisu na waaamuzi inafungwa.
What Hersi is doing is CLOSE MANAGEMENT OF THE TEAM hakuna cha delegation wala nini na kwa mbinu hiyo UTOPOLO anaweza fika Fainali.
Hongera kwa Hersi kwa kudhibiti kupe na Viroboto wa mipango.
Wewe kiazi tu huna lolote.Kwa hyo yanga wanatoa rushwa si ndyo? Thibitisha kabla hatua Kali za kisheria sjachukua
Sababu ni Raisi wa timu ya YangaNajiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
inakuhusu nini?Najiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Embu soma mara mbili mbili uelewe alichokisema. Unasoma huku una wenge, jamaa kasema Hersi ana hakikisha matumizi ya fedha yanatumika bila kuwa na mianya ya watu katikati ni yeye mwenyewe ndiye anayehakikisha pesa imeenda mahali sahihi. Mfano posho, nauli, n k. Sio habari za pesa kupewa maneja wa timu au mtu wa kati mwisho wa siku hazifiki kwa walengwa. Na madhara yake wachezaji ni rahisi kurubunika kwasababu ya kutopata stahiki zao ama kutokea hujuma kwavile kuna gape kati wachezaji + benchi la ufundi na kiongozi mkuu. Hersi anafanya wachezaji na benchi la ufundi kama familia moja. Ni rahisi kunusa harufu ya jambo baya kwenye timu.Kwa hyo yanga wanatoa rushwa si ndyo? Thibitisha kabla hatua Kali za kisheria sjachukua
Najiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Ndio hiko hiko kikundi cha wahuni kilichoongoza timu msimu uliopita kuchukua kombe la Azam Federation na ligi kuu, na msimu huu ikiwa inaendelea kutetea mataji. Huku CAF wakiwa wamepiga hatua moja kucheza nusu fainali.Unashangaa ya Rais, jana CEO wao ndiyo alikuwa anahangaika huku na huko kwenye masuala madogo mno nikajisemea hii ni timu au kikundi cha wahuni.
Kuhonga marefa na timu pinzani...bahasha fcNajiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Anataka aone LIVE AND DIRECT timu inavyopambanaNajiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?