Kwanini Rais wa Yanga anatembea na team kila kona?

Kwanini Rais wa Yanga anatembea na team kila kona?

Don Perez huwa anasafiri na Madrid all over the world kuwapa hamasa.

Same kwa Abrahamovic wakati yupo Chelsea.

Kusafiri na timu ni mapenzi yaliyotukuka.

Rais kutembea na timu ni sio issue kubwa labda kama unataka kuuzodoa ushindi wa Yanga.
 
Kamfuatilia Florentino PƩrez na Real Madrid yake
Ama Todd Boehly na Chelsea yake

Afu urudi usome tena uzi wako una maana gani
Hao uliowataja hawasafiri na timu kila mahali maana wana biashara nyingine za kusimamia ambayo ni kubwa kuliko hizo timu. Mathalani Florentino Perez ni CEO wa kampuni inaitwa Grupo ACS . Hii ni kampuni kubwa kuliko zote ya construction dunia nzima so huwezi kutegemea awe na muda wa kuambatana na timu km anavyofanya Hersi.

Hata GSM ( de facto president of Yanga) hawez kusafiri na timu kila mahali kwa sababu anahitajika kwenye majukumu ya kusimamia kampuni ya GSM. Amemuweka kikaragosi chake Hersi pale Yanga km msimamizi wa timu ila pale inapohitajika kufanya maamuzi makubwa ya fedha n.k lazima yeye ndio hutoa maamuzi. Tukumbuke kuwa Hersi hana mshahara Yanga bali analipwa mshahara na GSM
 
Don Perez huwa anasafiri na Madrid all over the world kuwapa hamasa.

Same kwa Abrahamovic wakati yupo Chelsea.

Kusafiri na timu ni mapenzi yaliyotukuka.

Rais kutembea na timu ni sio issue kubwa labda kama unataka kuuzodoa ushindi wa Yanga.
Sio kweli Abramovich alikuwa anahudhuria baadhi ya Mechi tu km ilivyo kwa Civil Engineer Perez
 
Back
Top Bottom