uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Najiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Ni raha eti jomba, kama nauli ipo lakini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Ko ulitaka atembea na wewe mjinga sana.raisi anatembea na timu yake ndoa maana,nusu fainali iyoooNajiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Mtani, kwenye ukweli tuwe wakweli..!!! Kwani kutoa mlungula ni mpaka yeye aende? Hawezi tuma mtu?Anatanguliza mlungula
Hivi wale rivers uliwaona wana akili timamu?
Usijali ni vi maneno tuu mtani...Mtani, kwenye ukweli tuwe wakweli..!!! Kwani kutoa mlungula ni mpaka yeye aende? Hawezi tuma mtu?
Rais wa Yanga anakwenda huko timu iliko ili ashuhudie LIVE TIMU inavyopambana
Yanga team ndio ofisi yake sasa unataka asiende kazini? Yanga ilipo ndio ofisi ilipoNajiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Utaje basi na madhara yake kama yapo.Najiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
[emoji23][emoji23][emoji23]...daah we jamaa bwanaViongozi wa yanga wengi wana njaa ya kufa mtu ukimtoa huyo dogo ambaye wanamuita raisi asipofanya hivyo na akijaribu kuiacha timu yake kidogo tu wanauza mechi VIONGOZI WA YANGA NJAA TUPU
so jamaa kama anailinda timu yake viongozi wasichukue rushwa na kuuza mechi akijitela kidogo tu wanauza mechi zilizo bakia na kombe wanalikosa la ligi
NJAA MBAYA SANA HASA HII NJAA YA VIONGOZI WA YANGA
Akili mbiliNyinyi bila shaka ndiyo wale mashabiki ambao Rage aliwaitaje vile.......!!!!?
Huyo jamaa wa chini hukumuelewa mkuu. Soma kwa utulivu utamuelewa, kumuweka kwenye kundi la Rage umemuonea haswa.Nyinyi bila shaka ndiyo wale mashabiki ambao Rage aliwaitaje vile.......!!!!?
[emoji23][emoji23][emoji23]...daah we jamaa bwana
Ona sasa huyu mbwiga.Mpira wa Afrika inaongea Pesa. Anachofanya Hersi ni kuhakikisha yeye mwenyewe anafikisha mkwanja sahihi kwa walengwa. Ile kumpa Sijui Meneja wa timu au Mratibu wa Mashindano ndani ya Klabu huwa ni Ujanja ujanja hawazipeleki na mwishoe timu inapigwa figisu na waaamuzi inafungwa.
What Hersi is doing is CLOSE MANAGEMENT OF THE TEAM hakuna cha delegation wala nini na kwa mbinu hiyo UTOPOLO anaweza fika Fainali.
Hongera kwa Hersi kwa kudhibiti kupe na Viroboto wa mipango.
kama perez tu na madrid yake kila inapoenda na yeye yupo kuhakikisha kwamba vijana wako salamaNajiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Minding your own business ni kitu simple sanaUnashangaa ya Rais, jana CEO wao ndiyo alikuwa anahangaika huku na huko kwenye masuala madogo mno nikajisemea hii ni timu au kikundi cha wahuni.
Nashukuru mkurugenzi. Nimewabakiza wawili ambao kwa kweli wanastahili kabisa.Huyo jamaa wa chini hukumuelewa mkuu. Soma kwa utulivu utamuelewa, kumuweka kwenye kundi la Rage umemuonea haswa.
ulitaka atembee na dada Yako auNajiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Nitoe hapo harakaNashukuru mkurugenzi. Nimewabakiza wawili ambao kwa kweli wanastahili kabisa.