Kwanini Rais wa Yanga anatembea na team kila kona?

Najiuliza sipati jibu nikiwa kama mdau wa mpira ni kwanini rais wa Yanga kila timu inakoenda na yeye yupo?
Ko ulitaka atembea na wewe mjinga sana.raisi anatembea na timu yake ndoa maana,nusu fainali iyooo
 
Viongozi wa yanga wengi wana njaa ya kufa mtu ukimtoa huyo dogo ambaye wanamuita raisi asipofanya hivyo na akijaribu kuiacha timu yake kidogo tu wanauza mechi VIONGOZI WA YANGA NJAA TUPU

so jamaa kama anailinda timu yake viongozi wasichukue rushwa na kuuza mechi akijitela kidogo tu wanauza mechi zilizo bakia na kombe wanalikosa la ligi

NJAA MBAYA SANA HASA HII NJAA YA VIONGOZI WA YANGA
 
[emoji23][emoji23][emoji23]...daah we jamaa bwana
 
Halafu wewe Luc Eyamel na Manara walikuitaje? Unabweka bweka kama Nyani tuu na weee ni pimbi tu maaana huna akili kichwani.
 
Ona sasa huyu mbwiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…