jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Kwaiyo kwa akili zako unajua wanatumia bajaji kubeba huo mwili wake?
Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-M315F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kaanza kudanganywa mapema hivi..wapigaji watafaidi sana this time.Kwa siku mbili tangu kuapishwa kwake nimeona mapungufu manne-
1. Kutangaza siku za maombolezo ya Rais kuwa siku 24 bàdala ya siku 21
2. Akiwa kwenye kikao cha baraza la mawaziri kupokea kalamu ya blue kusaini bàdala ya nyekundu
3. Ratiba ya mazishi kusahau kuingizwa zanzibar, ili kuagwa
4. Kubadili tarehe ya mazishi kutoka tarehe 25 kwenda 26 na watanzania walisha kata tiketi kwenda Chato tarehe 25.
Mapendekezo yametolewa na wana zanzibari...Hii ya kuvusha maiti kisa kuaga ingepigwa marufuku..
Wazanzibar asimilia 98 waislam hawana tamaduni za kuaga mwili
Kwa hili nakubaliana nawe 100% Ndugu.Watu wanataka piga per diem
You're too Logical and Rational Thinker. Congrats!!Hii ya kuvusha maiti kisa kuaga ingepigwa marufuku..
Wazanzibar asimilia 98 waislam hawana tamaduni za kuaga mwili
Kuna Watu hapa JF mna Akili sana hadi nawapenda na Kunipa Raha kwa mnavyojua Kufikiri na Kujenga Hoja. Heko Ndugu nimekukubali.Kwa siku mbili tangu kuapishwa kwake nimeona mapungufu manne-
1. Kutangaza siku za maombolezo ya Rais kuwa siku 24 badala ya siku 21
2. Akiwa kwenye kikao cha baraza la mawaziri kupokea kalamu ya blue kusaini bàdala ya nyekundu
3. Ratiba ya mazishi kusahau kuingizwa Zanzibar, ili kuagwa
4. Kubadili tarehe ya mazishi kutoka tarehe 25 kwenda 26 na Watanzania walishakata tiketi kwenda Chato tarehe 25.
Mapendekezo yametolewa na wana zanzibari...
Pe diemHii ya kuvusha maiti kisa kuaga ingepigwa marufuku..
Wazanzibar asimilia 98 waislam hawana tamaduni za kuaga mwili
Kama kuna Comment nyingine yenye Akili na ya Kufikirisha zaidi ni hii yako Ndugu. Nimeipenda na Kuikubali pia. Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan awe Makini mno kwani anaweza akafanywa aonekane Kituko na wa hovyo kabisa.Mama Samia suluhu awe makini sana na washauri wake, watatumia mwaya kumyumbisha na kuonekana "dhaifu!"
Ni Kuchanganyikiwa au ni Upumbavu wa Waandaaji? Acheni kuwa Wanafiki tafadhali Upuuzi huu haukupaswa Kufanyika kwa Watu kutoka Ikulu na Wanaosaidiwa vyema Kiuratibu na Idara zetu Kuu ( Nyeti ) mbili za Ulinzi na Usalama.hyo makosa ya kawaida jamani watu wamechanganyikiwa na msiba!
Pathetic.Duh..
Mie nimekushangaa kweli. Nilidhani una bonge la hoja. Mwili unaenda na ndege. Inawezekana hata ukaagwa Kigoma tarehe tarehe 22 jioni na asubuhi zanzibar kisha aiku inayofuata ukaagwa Mbeya asubuhi na jioni ukaagwa Mwanza....