Kwanini Ratiba ya Mazishi inabadilika badilika hovyo?

Kwanini Ratiba ya Mazishi inabadilika badilika hovyo?

Ila watu jamani!
Nadhani kucompare na vifo vya marais wengine, magufuli amefia madarakani no one expected this.

Ingawa huko wako intelligent people kumbuka ni binadamu na pia yako maridhiano.
Sidhan Kama KWA hili tunahaki ya kuanza kumjudge madam president.
It has been tough, so fast and even with no expectations.
Let's give her time.
 
Wameleta complications zisizo za lazima. Nyerere tulimuaga kitiafa sehemu moja tu, ikatosha. Ingetosha kuaga DSM au Dodoma tu.

Au njia nyingine wausafirishe mwili kwa msafara wa magari kunzia Dar mpaka Chato.....tutasimama barabarani kupunga mikono kumuaga!?
Kweli kabisa hata mimi niliwaza hiii kitu
 
Bilashaka utakuwa teacher nenda kazini acha uvivu
😂😂😂....nadhan mapumziko yatakua trh 22& 26 j3 na ijumaa.

Ingawa Sasa nao wangetoa tangazo la mapumziko together na hilo la mabadiliko la ratiba...
 
Wangeaga tu makao ya nchi Dodoma na Chato basi, hizi habari zingine mbona ni kurudishana nyuma.

Wajiulize kama Magufuli angeweza kufanya kitu kama hicho.
 
Ni Kuchanganyikiwa au ni Upumbavu wa Waandaaji? Acheni kuwa Wanafiki tafadhali Upuuzi huu haukupaswa Kufanyika kwa Watu kutoka Ikulu na Wanaosaidiwa vyema Kiuratibu na Idara zetu Kuu ( Nyeti ) mbili za Ulinzi na Usalama.
Msigwa juzi mpaka kakumbushwa kutoa tangazo la kuapishwa mama Samia ni dalili moja wapo
 
Nilishangaa mno ile ya mara ya Kwanza kuona Wakazi wa Zanzibar hawakupewa nafasi ya Mwili kwenda Kisiwani Kuagwa ila kwakuwa jana Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ( atokaye Zanzibar ) Kaapishwa leo mmeiweka.

Kama kuna Upuuzi mkubwa niliouona katika Ratiba mpya ( iliyobadilishwa ) ni kuona tarehe 22 Mwili utakuwa Dodoma halafu tarehe 23 utakuwa Zanzibar na tarehe 24 utakuwa Mwanza.

Mlioipanga hii Ratiba Vichwani mwenu mko vizuri kweli? Yaani Mwili muutoe Dar es Salaam kisha muupeleke Dodoma halafu urudi Zanzibar ( nyuma ya Dodoma Kijiografia ) na baadae Mwanza?

Kwanini Mwili baada ya kuutoa Dar es Salaam kwasababu ya ukaribu wa Kijiografia usiende Zanzibar kisha ndiyo uende huko Dodoma, Mwanza na ukamalizie Kwao Chato Mkoani Geita?

Na kwanini hii ( hiyo ) Ratiba inabadilika mno? Mlishindwa nini tu Kujipanga na Kuipanga vyema ikaeleweka? Na nini kiliwafanya mwanzoni Wazanzibari mliwasahau Kuwajumuisha wakati nao ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Mlitusisitiza sana kuwa Marehemu atazikwa tarehe 25 na Ratiba yenu mpya ( mliyoibadili ) mnasema sasa atazikwa tarehe 26. Je, na Siku za Mapumziko nazo zimebaki zile zile Mbili au sasa baada ya Kuibadili tena Ratiba sasa kuna Siku ya Tatu ya Kupumzika / Mapumziko?
acha wafu wazike wafu wao, achana na haya ya jiwe. Wacha wafanye wanavyotka na mwili huo. achana na petty issues za dead bodies. He is dad bado shimo la kwako na wanaokuhusu
 
Kwa siku mbili tangu kuapishwa kwake nimeona mapungufu manne-
1. Kutangaza siku za maombolezo ya Rais kuwa siku 24 badala ya siku 21
2. Akiwa kwenye kikao cha baraza la mawaziri kupokea kalamu ya blue kusaini bàdala ya nyekundu
3. Ratiba ya mazishi kusahau kuingizwa Zanzibar, ili kuagwa
4. Kubadili tarehe ya mazishi kutoka tarehe 25 kwenda 26 na Watanzania walishakata tiketi kwenda Chato tarehe 25.
Angalia na ww ulivyokurupuka hapa badala ya siku 14 umeandika 24 hizi ni common human error
 
[emoji23][emoji23][emoji23]....nadhan mapumziko yatakua trh 22& 26 j3 na ijumaa.

Ingawa Sasa nao wangetoa tangazo la mapumziko together na hilo la mabadiliko la ratiba...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mateacher na mastudent wanapenda likizo ndefu balaa
 
Nilishangaa mno ile ya mara ya Kwanza kuona Wakazi wa Zanzibar hawakupewa nafasi ya Mwili kwenda Kisiwani Kuagwa ila kwakuwa jana Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ( atokaye Zanzibar ) Kaapishwa leo mmeiweka.

Kama kuna Upuuzi mkubwa niliouona katika Ratiba mpya ( iliyobadilishwa ) ni kuona tarehe 22 Mwili utakuwa Dodoma halafu tarehe 23 utakuwa Zanzibar na tarehe 24 utakuwa Mwanza.

Mlioipanga hii Ratiba Vichwani mwenu mko vizuri kweli? Yaani Mwili muutoe Dar es Salaam kisha muupeleke Dodoma halafu urudi Zanzibar ( nyuma ya Dodoma Kijiografia ) na baadae Mwanza?

Kwanini Mwili baada ya kuutoa Dar es Salaam kwasababu ya ukaribu wa Kijiografia usiende Zanzibar kisha ndiyo uende huko Dodoma, Mwanza na ukamalizie Kwao Chato Mkoani Geita?

Na kwanini hii ( hiyo ) Ratiba inabadilika mno? Mlishindwa nini tu Kujipanga na Kuipanga vyema ikaeleweka? Na nini kiliwafanya mwanzoni Wazanzibari mliwasahau Kuwajumuisha wakati nao ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Mlitusisitiza sana kuwa Marehemu atazikwa tarehe 25 na Ratiba yenu mpya ( mliyoibadili ) mnasema sasa atazikwa tarehe 26. Je, na Siku za Mapumziko nazo zimebaki zile zile Mbili au sasa baada ya Kuibadili tena Ratiba sasa kuna Siku ya Tatu ya Kupumzika / Mapumziko?
mkuu umewai kusafiri na ndege
 
Back
Top Bottom