MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #41
Hata katika Upuuzi na Upumbavu Ndugu?Tuwe na uvumilivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata katika Upuuzi na Upumbavu Ndugu?Tuwe na uvumilivu
Yenye Upuuzi na Upumbavu usiovumilika.Makosa ya kibiinadamu
Yajayo, yanafurahisha.Kwa siku mbili tangu kuapishwa kwake nimeona mapungufu manne-
1. Kutangaza siku za maombolezo ya Rais kuwa siku 24 badala ya siku 21
2. Akiwa kwenye kikao cha baraza la mawaziri kupokea kalamu ya blue kusaini bàdala ya nyekundu
3. Ratiba ya mazishi kusahau kuingizwa Zanzibar, ili kuagwa
4. Kubadili tarehe ya mazishi kutoka tarehe 25 kwenda 26 na Watanzania walishakata tiketi kwenda Chato tarehe 25.
Unauliza Mbegu Ukeni?Who is behind all these stu** decisions?
Bashiru ama
Waulize tume ya uchaguzi, wanadhani Chadema wamo.Nilishangaa mno ile ya mara ya Kwanza kuona Wakazi wa Zanzibar hawakupewa nafasi ya Mwili kwenda Kisiwani Kuagwa ila kwakuwa jana Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ( atokaye Zanzibar ) Kaapishwa leo mmeiweka.
Kama kuna Upuuzi mkubwa niliouona katika Ratiba mpya ( iliyobadilishwa ) ni kuona tarehe 22 Mwili utakuwa Dodoma halafu tarehe 23 utakuwa Zanzibar na tarehe 24 utakuwa Mwanza.
Mlioipanga hii Ratiba Vichwani mwenu mko vizuri kweli? Yaani Mwili muutoe Dar es Salaam kisha muupeleke Dodoma halafu urudi Zanzibar ( nyuma ya Dodoma Kijiografia ) na baadae Mwanza?
Kwanini Mwili baada ya kuutoa Dar es Salaam kwasababu ya ukaribu wa Kijiografia usiende Zanzibar kisha ndiyo uende huko Dodoma, Mwanza na ukamalizie Kwao Chato Mkoani Geita?
Na kwanini hii ( hiyo ) Ratiba inabadilika mno? Mlishindwa nini tu Kujipanga na Kuipanga vyema ikaeleweka? Na nini kiliwafanya mwanzoni Wazanzibari mliwasahau Kuwajumuisha wakati nao ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Mlitusisitiza sana kuwa Marehemu atazikwa tarehe 25 na Ratiba yenu mpya ( mliyoibadili ) mnasema sasa atazikwa tarehe 26. Je, na Siku za Mapumziko nazo zimebaki zile zile Mbili au sasa baada ya Kuibadili tena Ratiba sasa kuna Siku ya Tatu ya Kupumzika / Mapumziko?
Mi nimeshangaa pia. Miili ya Nyerere na Mkapa haikupelekwa Zenji kuagwa. Na kuna sababu yoyote maalum ya kuaga miili?Hii ya kuvusha maiti kisa kuaga ingepigwa marufuku..
Wazanzibar asimilia 98 waislam hawana tamaduni za kuaga mwili
kwn usalama na unyeti ndo makosa hayatokei..?Ni Kuchanganyikiwa au ni Upumbavu wa Waandaaji? Acheni kuwa Wanafiki tafadhali Upuuzi huu haukupaswa Kufanyika kwa Watu kutoka Ikulu na Wanaosaidiwa vyema Kiuratibu na Idara zetu Kuu ( Nyeti ) mbili za Ulinzi na Usalama.
Tuna amini huko huwa kuna Watu very Intelligent Ndugu. au hili nalo utalibishia pia?kwn usalama na unyeti ndo makosa hayatokei..?
Hata imani yake ya kidini pia haimtumi hivyo. Kiislam, hivi leo Magu angeshakuwa udongoni. ..Mapungufu ya kawaida ya kibiadamu hayo hasa ktk jambo kubwa kama hili,unaweza msalimia asikusikie tumvumilie mama
ww ndo unaamin hvyo..! makosa ni sehmu kubwa ya kibinaadam ndo maana pakawa na misamaha..Tuna amini huko huwa kuna Watu very Intelligent Ndugu. au hili nalo utalibishia pia?
Na Mimi All - Rounder naomba uletwe hapa nchini Herzegovina nilipo Siku nyingi sana Kimakazi ( Kimaisha ) nami niuage peke yangu ndipo muupeleke huko Kwao Chato Mkoani Geita kwa Maziko.Mi nimeshangaa pia. Miili ya Nyerere na Mkapa haikupelekwa Zenji kuagwa. Na kuna sababu yoyote maalum ya kuaga miili?
Basi upelekwe Moshi pia wachaga wauage...
Makosa yakizidi ni Upumbavu usiovumilika.ww ndo unaamin hvyo..! makosa ni sehmu kubwa ya kibinaadam ndo maana pakawa na misamaha..
Tupe kwanza iyo ratiba alaf nitakuja kukujibu kwanini imeenda dodoma then zanzibarNilishangaa mno ile ya mara ya Kwanza kuona Wakazi wa Zanzibar hawakupewa nafasi ya Mwili kwenda Kisiwani Kuagwa ila kwakuwa jana Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ( atokaye Zanzibar ) Kaapishwa leo mmeiweka.
Kama kuna Upuuzi mkubwa niliouona katika Ratiba mpya ( iliyobadilishwa ) ni kuona tarehe 22 Mwili utakuwa Dodoma halafu tarehe 23 utakuwa Zanzibar na tarehe 24 utakuwa Mwanza.
Mlioipanga hii Ratiba Vichwani mwenu mko vizuri kweli? Yaani Mwili muutoe Dar es Salaam kisha muupeleke Dodoma halafu urudi Zanzibar ( nyuma ya Dodoma Kijiografia ) na baadae Mwanza?
Kwanini Mwili baada ya kuutoa Dar es Salaam kwasababu ya ukaribu wa Kijiografia usiende Zanzibar kisha ndiyo uende huko Dodoma, Mwanza na ukamalizie Kwao Chato Mkoani Geita?
Na kwanini hii ( hiyo ) Ratiba inabadilika mno? Mlishindwa nini tu Kujipanga na Kuipanga vyema ikaeleweka? Na nini kiliwafanya mwanzoni Wazanzibari mliwasahau Kuwajumuisha wakati nao ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Mlitusisitiza sana kuwa Marehemu atazikwa tarehe 25 na Ratiba yenu mpya ( mliyoibadili ) mnasema sasa atazikwa tarehe 26. Je, na Siku za Mapumziko nazo zimebaki zile zile Mbili au sasa baada ya Kuibadili tena Ratiba sasa kuna Siku ya Tatu ya Kupumzika / Mapumziko?
🙂Makosa yakizidi ni Upumbavu usiovumilika.
Izo mbona zinatokea tu mzee kwani wewe kusahau kwako ni baba mkweKwa siku mbili tangu kuapishwa kwake nimeona mapungufu manne-
1. Kutangaza siku za maombolezo ya Rais kuwa siku 24 badala ya siku 21
2. Akiwa kwenye kikao cha baraza la mawaziri kupokea kalamu ya blue kusaini bàdala ya nyekundu
3. Ratiba ya mazishi kusahau kuingizwa Zanzibar, ili kuagwa
4. Kubadili tarehe ya mazishi kutoka tarehe 25 kwenda 26 na Watanzania walishakata tiketi kwenda Chato tarehe 25.
Yani wa bongo wana mihemko sana mkuuYaan upungufu wa ratiba za mazishi ndio uone kuwa RAIS ana mapungufu makubwa? Mbona NYERERE HATA HUKO ZANZIBAR hakupelekwa. TUMSIFIE KIDOGO KWA UJASIRI HUO.